Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mjinga sana wewe. Weka certificate yako ama ukae kimya. Mpumbavu mkubwa wewe. Hata huna adabu. Unakuja kujipiga kifua hapa ilhali huna certificate hata moja. Jinga kabisa wewe. Halafu unadharau profession ya watu na wewe mwenyewe hujasoma. Jinga kabisa wewe jamaa. Na usinimention. Nimeona napoteza muda wangu bure na juha kalulu a.k.a abunuasi.
Jamaa alisomea computer packaging ya three months akaona amesoma kuliko kila mtu in their village
 
Kweli umeaumulia huyo jamaa
Huyo jamaa Venus Star amezoea kudanganya watu hapa eti yeye amesomea kila kitu hadi cosmology. Halafu the worst thing about him ni eti anadharau professions zingine ilhali yeye mwenyewe hajasoma na pia amekataa kupost certificates zake humu. Hio madharau yake ni tatizo.
 
Huwezi soma pure Maths ukawa accountant. Wakati with Your pure Maths and Advanced Physics you can do engineering.
Unaweza kuwa Accountant mkuu bila shaka, unajua mtu aliyesoma pure mathematics ana option nyingi sana mfano anaweza soma engineering, Accounting, Aviation n.k.
 
Huwezi soma engineering bila physics.
The point is best students obviously go for Science,
Kama hukuweza Kumudu masomo ya Science ukajikuta huko kwenye uhasibu basi you are likely an average student
Hahahahaaa hapa sichangii kitu mkuu
 
Huyo jamaa Venus Star amezoea kudanganya watu hapa eti yeye amesomea kila kitu hadi cosmology. Halafu the worst thing about him ni eti anadharau professions zingine ilhali yeye mwenyewe hajasoma na pia amekataa kupost certificates zake humu. Hio madharau yake ni tatizo.
You are not the first person to embarrass him. There was a time the guy claimed that amesoma kuniliko so I invited him to post his certificates na mimi pia nipost zangu, nakuambia the guy gave all types of excuses that can be found in this world.
 
You are not the first person to embarrass him. There was a time the guy claimed that amesoma kuniliko so I invited him to post his certificates na mimi pia nipost zangu, nakuambia the guy gave all types of excuses that can be found in this world.
Jamaa Venus Star anasema eti kupost certificate online ni ujinga lakini the same guy anacriticise professions za watu halafu the same guy anakataa kupost certificates zake na bado anataka tumuamini eti amesomea courses zote chini ya jua kuanzia cosmology na kumaliza na Metaphysics, hadi spiritualism alisema amesomea. Jamaa ni mshenzi sana. Si alete hizo certificates tuzione la sivyo akae kimya kama watu wengine.
 
Acha nichangamshe wale wenye wamepotea hapa just because of mambo ya education.


 
Acha nichangamshe wale wenye wamepotea hapa just because of mambo ya education.


Hahahahaaa, Watz wengi wanaakili sn wapo humu jf, jaribu kuwa unaingia majukwaa mengine utagundua kwamba ww ni nyau tu, Watz wengi huwa sio watu wa pang'ang'a ila wako vzr sn wacha kabisa we dada yn kuna watu wana qualifications unaweza sema wewe ulikuwa unacheza tu.
 
Computer engineering anaweza soma ila awe na base ya advanced mathematics
Kuna friend wangu alifanya electrical engineering without doing physics in form 3&4. Don't ask me how cause I don't know how he managed to do it
 
Hahahahaaa, Watz wengi wanaakili sn wapo humu jf, jaribu kuwa unaingia majukwaa mengine utagundua kwamba ww ni nyau tu, Watz wengi huwa sio watu wa pang'ang'a ila wako vzr sn wacha kabisa we dada yn kuna watu wana qualifications unaweza sema wewe ulikuwa unacheza tu.
Wewe hawker wa korosho unasema nini hapa?
 
, Katika Hotuba yake kasema katika miaka 10 tumelipa 10 USD kwa Chinese companies zinazofanya miradi hapa Bongo, na juzi tumewaongezea 1.3 Billion USD.

Kuna mwosha kinywa alikua anasema sisi Masikini. Kwa kuwa Mheshimiwa ka suggest wapotezee tu madeni ya zamani.

Mwingine kasema kenyan companies zinadominate Tanzania

Unaambiwa wana Kampuni 529 humu Bongo lakini zote zimeinvest 1.7 USD only. Hebu mkuu Geza fafanua hapa.

Makampuni mia tano Ishirini na tisa. Wakati kuna kampuni moja tu in 3 Billion Usd na hawasemi wamedominate.
Huwa wanaharisha sana na midomo hawa kunguni,..mpaka Msomali sasa hataki hata kuwaona,parasite wakubwa(kunyans)
 
Back
Top Bottom