Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha. Wachana na yeye. Hata wacha debate iishe tu juu arguing with a fool is not a good idea. The guy is a fool. Wachana na yeye. Tuendelee na mijadala mingine. Hii chapter tumefunga. I will not reply to his nonsense.
Sawa. Lakini nimecheka huyo jamaa bana
 
Hahaha. Wachana na yeye. Hata wacha debate iishe tu juu arguing with a fool is not a good idea. The guy is a fool. Wachana na yeye. Tuendelee na mijadala mingine. Hii chapter tumefunga. I will not reply to his nonsense.
Hahahaha Accountant kakimbia. Umeshindwa kujibu maswali yangu.
Mtaalamu wa plus and Minus.
 
Wewe umefanya nikuchukie sana. Wewe ni umbwa tu. Ukitaka details zangu zote naweza kuzimwaga hapa. Malaya wewe.
Dah umeenda mbali sn mkuu huyo simon mbn hana tatizo na mtu mkuu, yn alitaka kukuonesha tu kwmb ulikuwa umejitapa sn kuliko uhalisia.
 
Kwanza kwa sababu wewe ni mwanamke dume ambaye anapenda kupekua vitu vya watu na kueneza umbea basi wacha leo nikupe vitu ambavyo vitakukeep busy na umbea wako. Sasa mzee nataka uzunguke kote kote ukielezea watu kuwa mimi ni CPA(k). Yaani nimepiga CPA part 1,2 na 3 na kumaliza yote. Yaani mambo ya uhasibu hayanisumbui hata kidogo. I am a certified public accountant of Kenya. Leo ninaweka certificates zangu za CPA parts zote 1 mpaka 3. Kumbuka part 1 ina section 1 na 2. Part 2 ina section 3 na 4. Part 3 ina section 5 na 6. Halafu siku nyingine ukiwashwa tena uje uniambie nikuwekee transcripts zangu za university tuone kama sikusomea uchumi kwenye university. Sijaribiwi mimi.
Halafu Geza Ulole wewe ndio juzi ulikuwa unajaribu kunifunza mambo ya public na private company? Mimi ni binadamu na binadamu hukosea. Unadhani sielewi mambo haya? Hapo nilikuwa nimekosea kidogo lakini wewe ukanidharau.

CPA part 1
View attachment 1672996

Part 2
View attachment 1672997

Part 3
View attachment 1672998

CPA nimepiga yote nikamaliza. Uhasibu haunisumbui mimi. Sasa nenda katangazie watu Mr Umbea Simon.



Cc joto la jiwe
Hongera mkuu km hii yako mana hata mm nina mpango wa kupiga CPA(T) so kwa hili nakupa kongole mana sisi wahasibu tunajua ugumu wa hii kitu, safi sana ila uwache kujiita mchumi jiite muhasibu.
 
Akileta nitag jomba
Hao wasee wako hvo, nishawai kamata mmoja anadanganya wenzake kuhusu kenya..
Nikamuuliza swali moja tu akaanza kubwetuka..

Jamaa nilimuuliza ulipandia gari wapi mpka ukaenda kuwaona hao watu wanatesekaakaufyata
 
1. Najua accounts na Economics ni vitu viwili tofauti hakuna kitu unaniambia. Nina transcripts za economics ambayo nilisoma kwenye university lakini hizo sitapost kwanza. Nataka muendelee kunidoubt ndio niwaprove wrong. Mnapenda kudharau watu sana.
2. Accounts is not advanced cashier. Hujui unachoongea wewe nyumbu. Unaonyesha ufala wako
3. Hizi certificates sio za online. Kasneb is a government exam body na exam tunaifanya manually darasani. Unaona ulivyo fala?
4. CPA sio rahisi unavyodhani. Drop out rate ya CPA iko juu sana. Watu wengi sana wanaoanza CPA hawamalizi. Haya mambo ya mahesabu sio rahisi hata kidogo. Mambo ya book-keeping na kubalance account sio kitu ambacho watu wa division 4 kama wewe wanaweza kufanya.
Nafahamu mkuu, umechukia kweli kweli ila uwache ufala wa kujiita mchumi kisa umesoma vi course vya uchumi chuo
 
Dah umeenda mbali sn mkuu huyo simon mbn tatizo na mtu mkuu, yn alitaka kukuonesha tu kwmb ulikuwa umejitapa sn kuliko uhalisia.
Huyo jamaa Simon amekuwa akinitafuta sana lakini leo amenipata. Yeye mwenyewe anajua tulipitana wapi. Nilimuomba babayao255 asipost details zangu humu lakini Simon akajiona malaika sana akaamua kunianika na mimi nikaamua kujianika zaidi. Details zangu naweza kuzipost zote. Na yeye asinimention.
 
Back
Top Bottom