Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good job Tony, kitu nimegundua na hawa watu they talk a lot but know nothing. Ebu ambia huyo Venus guy aweke certificates zake hapa uone venye ataanza kulia
Huyo jamaa leo asubuhi aliambia Geza Ulole ati yeye ni software engineer. Wacha aweke certificate yake ya software engineering hapa.
Venus Star hapa sio mahali pa kupiga domo. Weka certificates zako hapa kama unazo, sio kudharau bidii na jasho ya wenzako huku wewe huna lolote la kuonyesha. Kama huna certificates zako si ukae kimya. Na hata ukipost certificates zako mimi sitakudharau maana hio ni jasho yako, nitakupongeza tu. Mimi sio mtu wa madharau kama wewe.
 
Huyo jamaa leo asubuhi aliambia Geza Ulole ati yeye ni software engineer. Wacha aweke certificate yake ya software engineering.
Venus Star hapa sio mahali pa kupiga domo. Weka certificates zako hapa, sio kudharau bidii na jasho za wenzako huku wewe huna lolote la kuonyesha. Kama huna certificates zako si ukae kimya. Na hata ukipost certificates zako mimi sitakudharau maana hio ni jasho yako, nitakupongeza tu. Mimi sio mtu wa madharau kama wewe.
He won't post his certificates here, there is a day I dared him to post his education certificates nakuambia jamaa alilia all day
 
Acha kudharau profession ya mwenzako wewe nguruwe. Accounting is much better than Computer packaging that you did for three months
Asante kwa kujibu.
Sasa wewe kusomea bacteria and fungi utaniambia nini!?
Je umeweza kutengeneza hata virus yeyote. Na kama hujaweza kufanya Genetic Engineering basi unakariri tu.

Accountant ni Advanced Cashier.
Also tukija kuongelea ujuzi wangu.
Kijana mimi mult profession.
Ninajua
Mathematics, Cosmology, Metaphysics, Dar Energy, IT, Spiritual Knowledge, Political Science, Accounts, Intel etc.

Siwezi kuongea na mtu mwenye narrow thinking kama wewe.
Zaidi sana nakusaidia ili ukifikia umri wa miaka 30 at least uwe umejifunza vitu vingine. Achana na kukariri vitu vilivyoandikwa na wakoloni.

Be innovative and creative.
 
Hakuna kitu unajua outside typing na kutengeneza posters
Asante kwa kujibu.
Sasa wewe kusomea bacteria and fungi utaniambia nini!?
Je umeweza kutengeneza hata virus yeyote. Na kama hujaweza kufanya Genetic Engineering basi unakariri tu.

Accountant ni Advanced Cashier.
Also tukija kuongelea ujuzi wangu.
Kijana mimi mult profession.
Ninajua
Mathematics, Cosmology, Metaphysics, Dar Energy, IT, Spiritual Knowledge, Political Science, Accounts, Intel etc.

Siwezi kuongea na mtu mwenye narrow thinking kama wewe.
Zaidi sana nakusaidia ili ukifikia umri wa miaka 30 at least uwe umejifunza vitu vingine. Achana na kukariri vitu vilivyoandikwa na wakoloni.

Be innovative and creative.
 
Asante kwa kujibu.
Sasa wewe kusomea bacteria and fungi utaniambia nini!?
Je umeweza kutengeneza hata virus yeyote. Na kama hujaweza kufanya Genetic Engineering basi unakariri tu.

Accountant ni Advanced Cashier.
Also tukija kuongelea ujuzi wangu.
Kijana mimi mult profession.
Ninajua
Mathematics, Cosmology, Metaphysics, Dar Energy, IT, Spiritual Knowledge, Political Science, Accounts, Intel etc.

Siwezi kuongea na mtu mwenye narrow thinking kama wewe.
Zaidi sana nakusaidia ili ukifikia umri wa miaka 30 at least uwe umejifunza vitu vingine. Achana na kukariri vitu vilivyoandikwa na wakoloni.

Be innovative and creative.
Teargass Hahaha. Eti Ng'ombe inasema inajua Metaphysics na Cosmology. Hapo ndio nimewachia kusoma post yake.
 
Huyo jamaa leo asubuhi aliambia Geza Ulole ati yeye ni software engineer. Wacha aweke certificate yake ya software engineering hapa.
Venus Star hapa sio mahali pa kupiga domo. Weka certificates zako hapa kama unazo, sio kudharau bidii na jasho ya wenzako huku wewe huna lolote la kuonyesha. Kama huna certificates zako si ukae kimya. Na hata ukipost certificates zako mimi sitakudharau maana hio ni jasho yako, nitakupongeza tu. Mimi sio mtu wa madharau kama wewe.
Can you prove hizo certificate ni zako!?
Mbona unakuwa na narrow thinking hivyo!?
Inaonekana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
Nimekuuliza zaidi ya credit and debit ni kitu gani zaidi kwenye Account!?
Can you tell me ni nini cha ziada!?
Hebu niambie miaka yote unasoma account umeweza ku add nini kipya!?
Nakushauri soma na vitu vingine uweze ku explore the universe.
 
Asante kwa kujibu.
Sasa wewe kusomea bacteria and fungi utaniambia nini!?
Je umeweza kutengeneza hata virus yeyote. Na kama hujaweza kufanya Genetic Engineering basi unakariri tu.

Accountant ni Advanced Cashier.
Also tukija kuongelea ujuzi wangu.
Kijana mimi mult profession.
Ninajua
Mathematics, Cosmology, Metaphysics, Dar Energy, IT, Spiritual Knowledge, Political Science, Accounts, Intel etc.

Siwezi kuongea na mtu mwenye narrow thinking kama wewe.
Zaidi sana nakusaidia ili ukifikia umri wa miaka 30 at least uwe umejifunza vitu vingine. Achana na kukariri vitu vilivyoandikwa na wakoloni.

Be innovative and creative.
Weka certificate mzee na uwache mchezo. Umeshatukana profession ya accounting. Sasa weka certificate zako za cosmology. Tutakukaba hadi aidha uweke certificate yako au uombe msamaha kwa professional accountants wote wanaofanya kazi Tanzania na Kenya.
 
Haya makenya ni mabogaz ,kama jitu zima linaandika hesabu za accounts zinamtoa povu, pure math, sii atakunya kabisa
Wewe weka certificate yako ya pure math. Na kama huna ukae kimya. Watanzania mna mdomo kubwa lakini hamna facts. Kila mtu aweke certificate yake kabla ya kukejeli mwenzake.
 
Akiweka certificates zake unitag tafadhali. Hata kama itapata kama nishakufa please just tag I may rise again
Weka certificate yako ya software engineering ndio unimention vinginevyi siongei na wewe hadi uweke certificates zako.
 
Hahahaha jamaa eti anasema kwenye Account kuna hesabu za kufa mtu. Sijawahi ona
Kwenye CPA kuna unit inayoitwa quantitative analysis ambayo ni hesabu tupu. Syllabus yenu ya accounting sio sawa na yetu. Yenu pengine haina mahesabu lakini yetu baadhi ya units zina hesabu.
 
Tony ashaweka certificates zake, ebu wewe pia weka zako tuone
Hayo mambo ya kuweka certificates nilishawaachiaga vijana wenye degree moja na wale ambao hawajiamini.

Also nimeshawaachia nyie wenye inferiority complex hamjiamini na ubogo wenu.

Kijana hebu weka certificates zako ambazo zipo verified also prove that hizo ulizoweka ni za kwako kweli. Zaidi ya hapo ni narrow thinking.
 
Back
Top Bottom