Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

effects za vitasa vya Jamiiforums umeenda kufungua twitter page ya facts worst enough by a Kenyan!

2662397_IMG_1610198070.384817.jpg



Tony254 ile facebook page mnayo-quote humu ni yako pia!

eti ananichukia as if inasaidia kuleta hela ya chakula nyumban kwangu
 
geza nilikueleza kwa mdomo na porojo hamna wapinzani ila tukijikita kwenye facts tuanze kuangalia vitu kama hospital bed per population, doctor - patients ratio, mortality rate n.k tunawakanyaga sawa sawa.....mdomo tumewaachia jibambeni
sina muda huo fala wewe !
 
geza nilikueleza kwa mdomo na porojo hamna wapinzani ila tukijikita kwenye facts tuanze kuangalia vitu kama hospital bed per population, doctor - patients ratio, mortality rate n.k tunawakanyaga sawa sawa.....mdomo tumewaachia jibambeni
Bila Cubans Hakuna madaktari Kenya, ninyi tulitaka kuwasaidia madaktari kipindi kile mpo kwenye mgomo
 
Kwanza kwa sababu wewe ni mwanamke dume ambaye anapenda kupekua vitu vya watu na kueneza umbea basi wacha leo nikupe vitu ambavyo vitakukeep busy na umbea wako. Sasa mzee nataka uzunguke kote kote ukielezea watu kuwa mimi ni CPA(k). Yaani nimepiga CPA part 1,2 na 3 na kumaliza yote. Yaani mambo ya uhasibu haunisumbui hata kidogo. I am a certified public accountant of Kenya. Leo ninaweka certificates zangu za CPA parts zote 1 mpaka 3. Kumbuka part 1 ina section 1 na 2. Part 2 ina section 3 na 4. Part 3 ina section 5 na 6. Halafu siku nyingine ukiwashwa tena uje uniambie nikuwekee transcripts zangu za university tuone kama sikusomea uchumi kwenye university. Sijaribiwi mimi.
Halafu Geza Ulole wewe ndio juzi ulikuwa unajaribu kunifunza mambo ya public na private company? Mimi ni binadamu na binadamu hukosea. Unadhani sielewi mambo haya? Hapo nilikuwa nimekosea kidogo lakini wewe ukanidharau.

CPA part 1
View attachment 1672996

Part 2
View attachment 1672997

Part 3
View attachment 1672998

CPA nimepiga yote nikamaliza. Uhasibu haunisumbui mimi. Sasa nenda katangazie watu Mr Umbea Simon.



Cc joto la jiwe
Tony umefanya vizuri kuweka certificates zako za Account. But sorry Account and Economics ni vitu viwili tofauti.

Accountant is just an Advanced CASHIER.
Also hizo certificates mbona kama masomo ya online!? Vilevile CPA any person can do that nothing special bro hapo.
 
Kuna moja umeruka apo, hzo nyingine huenda zinafanana so unaweza kujitetea ila kuna moja huwezi hata kuweka ufanano na kwa tahadhari tu umeiruka
Kina nani hawana brt
Endelea kujitekenya
Madaraja yapo, mabwaya yapo yani hamna kitu mtajisifia mbele yetu..
Nyie bado wadogo sana kwetu
 
Tony umefanya vizuri kuweka certificates zako za Account. But sorry Account and Economics ni vitu viwili tofauti.

Accountant is just an Advanced CASHIER.
Also hizo certificates mbona kama masomo ya online!? Vilevile CPA any person can do that nothing special bro hapo.
1. Najua accounts na Economics ni vitu viwili tofauti hakuna kitu unaniambia. Nina transcripts za economics ambayo nilisoma kwenye university lakini hizo sitapost kwanza. Nataka muendelee kunidoubt ndio niwaprove wrong. Mnapenda kudharau watu sana.
2. Accounts is not advanced cashier. Hujui unachoongea wewe nyumbu. Unaonyesha ufala wako
3. Hizi certificates sio za online. Kasneb is a government exam body na exam tunaifanya manually darasani. Unaona ulivyo fala?
4. CPA sio rahisi unavyodhani. Drop out rate ya CPA iko juu sana. Watu wengi sana wanaoanza CPA hawamalizi. Haya mambo ya mahesabu sio rahisi hata kidogo. Mambo ya book-keeping na kubalance account sio kitu ambacho watu wa division 4 kama wewe wanaweza kufanya.
 
1. Najua accounts na Economics ni vitu viwili tofauti hakuna kitu unaniambia. Nina transcripts za economics ambayo nilisoma kwenye university lakini hizo sitapost kwanza. Nataka muendelee kunidoubt ndio niwaprove wrong. Mnapenda kudharau watu sana.
2. Accounts is not advanced cashier. Hujui unachoongea wewe nyumbu. Unaonyesha ufala wako
3. Hizi certificates sio za online. Kasneb is a government exam body na exam tunaifanya manually darasani. Unaona ulivyo fala?
4. CPA sio rahisi unavyodhani. Drop out rate ya CPA iko juu sana. Watu wengi sana wanaoanza CPA hawamalizi. Haya mambo ya mahesabu sio rahisi hata kidogo. Mambo ya book-keeping na kubalance account sio kitu ambacho watu wa division 4 kama wewe wanaweza kufanya.
Pole sana Tony254
What so special with CPA!? Unaweza ukaniambia kitu gani cha ziada zaidi ya double entry!?

Asset = Capital
Asset = Capital + Liability
Sasa zaidi ya credit and debit nini cha ziada.
Account does not own money.
Unasoma miaka yote hiyo kuhusu
1. Financial Position
2. Financial Performance
3. Cash flow
jaribu kutafuta certificate zingine kuhusu vitu vingine.
Kama Cosmology, Metaphysics, Philosophy, Dark energy, political science etc.

Lakini mambo ya Account ni ya kitoto.
Which mathematics are difficult in Account!?
 
1. Najua accounts na Economics ni vitu viwili tofauti hakuna kitu unaniambia. Nina transcripts za economics ambayo nilisoma kwenye university lakini hizo sitapost kwanza. Nataka muendelee kunidoubt ndio niwaprove wrong. Mnapenda kudharau watu sana.
2. Accounts is not advanced cashier. Hujui unachoongea wewe nyumbu. Unaonyesha ufala wako
3. Hizi certificates sio za online. Kasneb is a government exam body na exam tunaifanya manually darasani. Unaona ulivyo fala?
4. CPA sio rahisi unavyodhani. Drop out rate ya CPA iko juu sana. Watu wengi sana wanaoanza CPA hawamalizi. Haya mambo ya mahesabu sio rahisi hata kidogo. Mambo ya book-keeping na kubalance account sio kitu ambacho watu wa division 4 kama wewe wanaweza kufanya.
Mathematics za Account is just plus and minus.
Hakuna calculus, Statistics, Trigonometric kwenye Accounts.
 
1. Najua accounts na Economics ni vitu viwili tofauti hakuna kitu unaniambia. Nina transcripts za economics ambayo nilisoma kwenye university lakini hizo sitapost kwanza. Nataka muendelee kunidoubt ndio niwaprove wrong. Mnapenda kudharau watu sana.
2. Accounts is not advanced cashier. Hujui unachoongea wewe nyumbu. Unaonyesha ufala wako
3. Hizi certificates sio za online. Kasneb is a government exam body na exam tunaifanya manually darasani. Unaona ulivyo fala?
4. CPA sio rahisi unavyodhani. Drop out rate ya CPA iko juu sana. Watu wengi sana wanaoanza CPA hawamalizi. Haya mambo ya mahesabu sio rahisi hata kidogo. Mambo ya book-keeping na kubalance account sio kitu ambacho watu wa division 4 kama wewe wanaweza kufanya.
Mpaka watu wa waliosoma Language wanasoma CPA.
 
geza nilikueleza kwa mdomo na porojo hamna wapinzani ila tukijikita kwenye facts tuanze kuangalia vitu kama hospital bed per population, doctor - patients ratio, mortality rate n.k tunawakanyaga sawa sawa.....mdomo tumewaachia jibambeni
Wakenya bwana, tukisema leteni picha za vitu halisi mnakimbilia kusema tugugo for some random fabricated information from untrustworthy sources,
Why don't you bring photos of your healthcare facilities so we see..
 
Kwanza kwa sababu wewe ni mwanamke dume ambaye anapenda kupekua vitu vya watu na kueneza umbea basi wacha leo nikupe vitu ambavyo vitakukeep busy na umbea wako. Sasa mzee nataka uzunguke kote kote ukielezea watu kuwa mimi ni CPA(k). Yaani nimepiga CPA part 1,2 na 3 na kumaliza yote. Yaani mambo ya uhasibu hayanisumbui hata kidogo. I am a certified public accountant of Kenya. Leo ninaweka certificates zangu za CPA parts zote 1 mpaka 3. Kumbuka part 1 ina section 1 na 2. Part 2 ina section 3 na 4. Part 3 ina section 5 na 6. Halafu siku nyingine ukiwashwa tena uje uniambie nikuwekee transcripts zangu za university tuone kama sikusomea uchumi kwenye university. Sijaribiwi mimi.
Halafu Geza Ulole wewe ndio juzi ulikuwa unajaribu kunifunza mambo ya public na private company? Mimi ni binadamu na binadamu hukosea. Unadhani sielewi mambo haya? Hapo nilikuwa nimekosea kidogo lakini wewe ukanidharau.

CPA part 1
View attachment 1672996

Part 2
View attachment 1672997

Part 3
View attachment 1672998

CPA nimepiga yote nikamaliza. Uhasibu haunisumbui mimi. Sasa nenda katangazie watu Mr Umbea Simon.



Cc joto la jiwe
Good job Tony, kitu nimegundua na hawa watu they talk a lot but know nothing. Ebu ambia huyo Venus guy aweke certificates zake hapa uone venye ataanza kulia
 
Pole sana Tony254
What so special with CPA!? Unaweza ukaniambia kitu gani cha ziada zaidi ya double entry!?

Asset = Capital
Asset = Capital + Liability
Sasa zaidi ya credit and debit nini cha ziada.
Account does not own money.
Unasoma miaka yote hiyo kuhusu
1. Financial Position
2. Financial Performance
3. Cash flow
jaribu kutafuta certificate zingine kuhusu vitu vingine.
Kama Cosmology, Metaphysics, Philosophy, Dark energy, political science etc.

Lakini mambo ya Account ni ya kitoto.
Which mathematics are difficult in Account!?
Wewe certificates zako ziko wapi? Unajua nyinyi Watanzania mnajulikana sana kwa midomo yenu kubwa. Wewe niwekee certificate yako ya Metaphysics na Astrophysics. Niwekee hio certificate ya Software engineering unayosema kwamba ulisomea. Hapa sio vijiweni tunadeal na facts. Weka zako
 
Back
Top Bottom