Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani kakudanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kenyatta ndio alinidanganyia hapa 🤣👇
D1B16BC1-F721-4620-A691-95EE7CB866CF.jpeg
 
Tumerudi toka kazini. Wakenya vipi hii mnaionaje!?

Soko Zuri sana..liko modern
I hope bei kwa sq meter itakuwa friendly
All i can say Tz ikiamua ku invest sector flani huwa tunafanya kweli

Kuna sector bado hatukazipa nguvu sana sana ila tukizianza tutakuwa vizuri sana ..maana anachofanya sa hizi..ni kujenga link ya Tz yote kwa kutumia Reli ,Anga na Maji..Transport system ndo blood vessels za nchi

Tukija tukatulia tukaanza kuwekeza kwa speed kali zaidi ya sasa kwenye afya ,elimu ,research na sports n entertainment facilities kama academies za soka na basketball tutapiga gap moja kubwa....

Mpka sasa afya hatuko pabaya ..kiasi hicho ila pata picha 1bn usd inawekezwa kwenye sector ya afya maybe inside 2-3 yrs ..tutakuwa mbali snaa

A modern hospital kama mloganzila costs around 80mil usd ..a good research facility cost around the same..

80mil usd kwenye sector ya education infrastructure ni kubwa ..na hio pesa ipo but presently priority is to create a good foundation for those ..
 
Hizi Vocational Education & Training Authority ni colleges zilizopo countrywide najua wakenya haya mambo hawana

Nilikua nataka nianze battle yake ila baada ya kuingia chimbo kufanya evaluation analysis ya experience ya battle ya shule, nimetafakari nikaona niwasamehe tu sababu ni kama kuua mbu kwa hydrogen bomb

Nimekuja kujua watanzania tuna the best practical education system Africa

View attachment 1671184View attachment 1671185View attachment 1671186View attachment 1671187View attachment 1671188View attachment 1671189
Wakenya hawajui sio kila mmoja kaambuiwa kusoma ..ndo maana unakuta unemployment kubwa..
Veta na techinal colleges ni muhimu sana nchini..cause techincal skills are as important

Watu wanamaliza la saba wanaingia veta direct
 
Upepo umebadilika, tangia european standards mpka wachina wanafanya kazi kulingana na wewe ulivyo[emoji1787][emoji1787]

Mlishindwa na hela ya kumpa phase ya kwanza na ya pili, ikabidi apewe mturuki ambae hela na uwezo wake ilikua vinaendana..
Anachowafanya na nyie si mnakiona[emoji1787][emoji1787]
Mchina ni contactor ukimwambia jenga european standard atajenga
 
Wakenya hawajui sio kila mmoja kaambuiwa kusoma ..ndo maana unakuta unemployment kubwa..
Veta na techinal colleges ni muhimu sana nchini..cause techincal skills are as important

Watu wanamaliza la saba wanaingia veta direct
Technical and vocational training institutes ni nyingi sana kenya na nadhani kila constituency ina moja na zipo well funded
 
Vitu viwili tofauti kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena cameraman kiboko walai..
Ndio maana nakwambia uje ushuhudie wewe bibi maana naona picha zinakudanganya sana kuhusu height ya hizo catenary poles. Waya za umeme zipo juu sana hiyo double stack inapita bila tatizo lolote kama nyoka anavyoingia tunduni.
 
You must be slowly loosing your mind. Be careful!
If stating facts is a sign of mind lose, then I'll be one of happiest mindless people in the world😂🤣.

Kenya-9,900 Secondary schools
Tanzania- 4,800 Secondary schools.
 
Ww demu una wenge sn na ndiyo maana nikakutongoza ili nikupige mkuyenge utulie kdg, ss mbn hapo unajichanhanya mara useme 4000 mara 4800 mara 3000 hiyo yote ni tabu unayojipa bure, Tz kuwa mbele yenu inakuchanganya unaona km mzigo umeubeba pekeako wkt ni Wakenya wote inawauma.

Usiumie sn mana haupo peke yko mchumba mafanikio ya Tz yanaumiza Wakunya wote so usijitwishe mzigo mzito utakufa kabla ya siku zako alafu ukose kunizalia watoto bure [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]
Kenya -9,900 Secondary schools
Tanzania -4,800 Secondary schools

Kenya -33,000 Primary Schools
Tanzania -17,000 Primary Schools

🤣🤣😂😂😂👇👇

IMG_20210106_200406_503.JPG


IMG_20210106_200323_041.JPG
 
Back
Top Bottom