Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ushahidi please kutoka kw mkataba

096F218F-9897-4BC7-97C2-1DBB008F4B05.jpeg
 
Hahahah!!pesa za kununua treni hakuna[emoji1787][emoji1787]
Ukiona mtu anakimbilia mbele jua hku nyuma yamemfikia puani na wala hajui atajitoaje[emoji1787][emoji1787]
Hela za loan kipande cha pili zimeingia tatizo treni hamna mtazindua kitu bila treni
Hii ni dalili ya maumivu yani uwe na pesa ya kwenda mbele usiwe na pesa ya kumaliza nyuma mbona maneno yako hayana ushirikiano 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndio utujuze genius.
Practical education system[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mfumo wa elimu za vitendo, sasa ninyi hata Agricultural school wala technical school hamna, practical education utaijulia wapi, mnachojua ni literature na kikabila 🎃🎃🎃🎃🚮
 
Hii ni dalili ya maumivu yani uwe na pesa ya kwenda mbele usiwe na pesa ya kumaliza nyuma mbona maneno yako hayana ushirikiano [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbele tayari si unamkopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilibidi asichanganye ma file akaamua kuwapumbaza tu akiendeleza
 
Sasa unapingana na serikali yenu yenye imesema Tanzania only have 4000 Secondary schools?[emoji23][emoji23][emoji23] Kenya Secondary schools ziko 9,900[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1671089View attachment 1671091View attachment 1671092View attachment 1671093
I argue with facts, kama hutaki meza wembe[emoji23][emoji23]

Kenya- 9,900
Tanzania- 4,800

[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji116][emoji116]

View attachment 1671082View attachment 1671083
Ww demu una wenge sn na ndiyo maana nikakutongoza ili nikupige mkuyenge utulie kdg, ss mbn hapo unajichanhanya mara useme 4000 mara 4800 mara 3000 hiyo yote ni tabu unayojipa bure, Tz kuwa mbele yenu inakuchanganya unaona km mzigo umeubeba pekeako wkt ni Wakenya wote inawauma.

Usiumie sn mana haupo peke yko mchumba mafanikio ya Tz yanaumiza Wakunya wote so usijitwishe mzigo mzito utakufa kabla ya siku zako alafu ukose kunizalia watoto bure [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]
 
Media za Kenya zimesusia hii habari! Unakjua unakpokuwa na ukata wa ku-finance budget halafu mwenzio anatoa $1.3 bln cash lazma upatwe na homa ya maharuani! Siwashangai!
tayari Tony254 anadai ati tutajengewa kwa mkopo kama wao!
Pesa yenyewe itatoka wapi na mnacollect less than $10 billion kwa mwaka?
 
Anytime kijana, huaga hatuna mda sisi wakuangamiza..
Manake tukilianzisha sisi mnakimbia km battle ya shule za msingi...
Tz shule za msingi ni zero[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anzisha tukuchape vibaya sana
Em post ki1 tu nicheke kwanza
 
Back
Top Bottom