Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,683
- 107,124
Robert Alai mwenye aliweka picha za SGR eti flyover zinaporomoka? this is a sadist anatafuta traffic na likes, how sure are u ni picha za 2020? Tazama na Tanzania mlivyo ovyo na mnajidai hamuna ufisadi, hamkufunga uchumi, kwa pesa za ndani, hapa kazi tu narratie etc
Wataandika bado wanatafuta kichwa cha habari[emoji23][emoji23]Media za Kenya zimesusia hii habari! Unakjua unakpokuwa na ukata wa ku-finance budget halafu mwenzio anatoa $1.3 bln cash lazma upatwe na homa ya maharuani! Siwashangai!
tayari Tony254 anadai ati tutajengewa kwa mkopo kama wao!
Kenya was on lockdown, nyie si hamkufunga uchumi, na ata hivyo, deduct one year then, still the whole project cannot take 3 years!! Unaona? mimi si kuonei, ni wewe unaonyesha udhaifu wako wazi wazi 😂 😂 😂Kwa nini mwwnafunzi mkenya wa darasa la 4 mwaka jana mpaka leo yupo darasa la 4? Unaona ulivyo kilaza?
Depends with the county which he belongs|(health is a devolved function in Kenya), and on what terms were his contract too, of which they get their money even if it delays, inakuja kwa ujumla! I insist always get to the bottom of how things are done in Kenya then argue, that aside, get the background info about the latest health strike., sawa?
Excuse za kitoto 🚮🚮🚮🚮Robert Alai mwenye aliweka picha za SGR eti flyover zinaporomoka? this is a sadist anatafuta traffic na likes, how sure are u ni picha za 2020? Tazama na Tanzania mlivyo ovyo na mnajidai hamuna ufisadi, hamkufunga uchumi, kwa pesa za ndani, hapa kazi tu narratie etc
View attachment 1671141
View attachment 1671142
Tazama hardship yenye watoto wa Tanzania mashinani wanapitia sasa mtasingizia nini? afadhali sisi kwetu tutasema ufisadi na ukame hivi., nyie hii ni laana ya kiaina!!
View attachment 1671145
Challenges of school children in Tanzanian villages.
View attachment 1671153
Kwa hili pia nyinyi mjichunguze sana!! Pambaneni na hali yenu!
Yaani kweli we kilaza kwani waturuki walikuwa watanzania? Materials za ujenzi na logistics zote zilikuwa Tanzania?Kenya was on lockdown, nyie si hamkufunga uchumi, na ata hivyo, deduct one year then, still the whole project cannot take 3 years!! Unaona? mimi si kuonei, ni wewe unaonyesha udhaifu wako wazi wazi 😂 😂 😂
if it makes u happy fine 😂 😂 😂 siwezi lazimisha ukweli.Excuse za kitoto 🚮🚮🚮🚮
Facts
Mishahara imewashinda
Elimu yenu ya chooni
Hivyo tu
Talking of the whole project wewe KILAZA over a thousand km as u indicated idiot!😂😂😂, kama ni phase one pekee 3 years ni nyingi mno!!, with those ugly looking stations!Yaani kweli we kilaza kwani waturuki walikuwa watanzania? Materials za ujenzi na logistics zote zilikuwa Tanzania?
After all mradi ulikua wa miezi 36
Talking of the whole project wewe KILAZA over a thousand km as u indicated idiot!😂😂😂, kama ni phase one pekee 3 years ni nyingi mno!!, with those ugly looking stations!Yaani kweli we kilaza kwani waturuki walikuwa watanzania? Materials za ujenzi na logistics zote zilikuwa Tanzania?
After all mradi ulikua wa miezi 36
Tumeweka nguzo za umeme. Nyie ni ile tazara ya miaka ya 70 ndio mnaita sgr. Mje kujifunza nguzo za sgr zinakaaje. Masikini wa kiberaKwn tz kuna treni za umeme
aah wapi Tuusan hamna mtu yeyote ana shuguli na nyinyi kenyaWataandika bado wanatafuta kichwa cha habari[emoji23][emoji23]
Only Kenya and UG has quality roads in EA👏👏👏😍😍sisi tu-admire barabara zenu? tangu lini?
Vitu viwili tofauti kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]LOL naona umekuwa mpole baada ya kuona hii single sided power poles
View attachment 1671107View attachment 1671108
Eldoret ni dawa hauna jibu hapa kamwe, not any time soon!
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 kiboko yake iko hapa ikiweza kutoka hapa nitag 🤣🤣🤣👇
Upepo umebadilika, tangia european standards mpka wachina wanafanya kazi kulingana na wewe ulivyo[emoji1787][emoji1787]Wachina wanafanya kazi kulingana na wewe ulivyoView attachment 1671112