Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Husikii akisema wanatia sahihi ukopeshaji wa MKOPO na benki ya standard chartered? Au siku hizi kiswahili pia huelewi? Wewe hauna tafauti na huyu kilaza mwenzako anyeongea hapo. Eti Standard chartered bank ni benki ya Tanzania. Tangu lini?
Wanatia saini kwa ajili ya phase two tena wamezungumza kutoka morogoro kwenda makutupora sikiliza vzr hahahhahahahahahahahahh naona unaumia
sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

 
Huyu achunge. Huko South Sudan anaweza kupigwa marisasi. Asipende pesa sana hadi anahatarisha maisha yake. Next utasikia anaenda Afghanistan kupiga show.
Hapana bana, people of SS need love. Need to be loved. Walijitoa toka Sudan kwa sababu ya manyanyaso. Tujitahidi kuwa karibu nao. Tuwatie moyo wapendane na hiyo itasaidia wawapende wengine. Tusiwatumie kama deal. Maana wakijua, hawata tuamini tena. Pia hawata tupenda.

Again, nyie wakenya si ndiyo waumini wa aggressiveness!!?
 
Is this the only station in the entire railway system? And you’re wrong. Our BRT stations do have benches!
So you haven't seen Imara Daima Railway station?

images%20(26).jpeg
images%20(27).jpeg
 
Nakubaliana na wewe. G wagon ni ksh15 million kwa factory. Uje nayo Afrika ulipe tax ya 40% au nchi zingine hata 100% bei tayari imeshafika ksh 20 million au zaidi.

Duuu, bro what's ksh 20mio. It's a peanut for a well paid musician like Kiba.
 
Back
Top Bottom