Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa tuache kujenga barabara tuendelee kujenga maghorofa? Mlisema mko na Barabara nyingi kutuzidi sasa ndio tunajikaza kufuta aibu ......
Nakumbuka mkenya m1 akiongea point ya muhimu (city sio maghorofa pekee ni infrastructures )
Your problem ni kwamba private sector is dead ,hapa unatafuta excuse maana ujenzi wa magorofa huko kwenu mnategemea public sector
Kwani Kenya na Nairobi in perticular umekuta hawajengi barabara? Barabara zinajengwa tena classic kuliko zenu na magorofa ya kutetemesha Africa yanasimamishwa daily
Tukiwaambia muache ujamaa unawafanya kuwa wavivu na maskini mnabisha,yakowapi sasa
 
Wewe umeniwekea studio pekee. Hakuna biashara hata moja zaidi ya mziki uliyoniwekea.
Ana bishara nyingi sana zingine mm siwezi kuzijua kwa undani kwasababu alikiba ni msanii anaeficha sana mambo yake
 
Ila Wachina ndio bwana zenu huko Tzn na juzi Kati hapo mkuu Sana Magu katembeza bakuli kama ilivyo kawaida ya bongolalas
Ww sio tu mjinga ila hujitambui....bakuli kamulize uhuru anaelew vyema [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
GuJmPRF.jpg


Beam laying on Nairobi expressway commenced on 21 December 2020.
 
Huyo gigi money ndio nani? Halafu mbona siku hizi wasanii wa kike wamekosa nidhamu kabisa. Yaani zamani wasanii wa kike walikuwa wanatengeneza pesa kwa kuimba kwa sauti ya ninga kwa mfano Nyota ndogo. Lakini siku hizi wanatengeneza pesa kwa kupanua miguu na kuonyesha watu makalio hadi mtu anaweza kuona mavi. Yaani wamekosa talent kabisa.
angekua beyonce POVU lisingekutoka ata!
anyway huyo ni entertainer yupo kazini wala atumii nguvu sana anakula kiulainiiiiii industry inammbeba!!
 
Back
Top Bottom