Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu ni wivu kuona kwamba Kenya hamkuweza kujenga hata sentimeta moja kwa kutumia pesa ya ndani.

Hadi sasa pesa iliyotumika kujenga ni $3.2B hadi Dodoma, Standard Chartered wametoa $1.46B, Sisi wenyewe tumetoa $1.7B, kama unabisha weka ushahidi kama huo wa Standard Chartered kuonyesha tunasaini kupokea hiyo $1.7B toka nchi au Bank yoyote ile

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mbona unajifanya huoni evidence Kutoka Turkey and I have posted it here twice?
 
Evidence ndio hizo hapo juu
Weka kuonyesha lini Turkey ilitoa pesa, tuliomba sehemu nyingi sana na kuahidiwa lakini hakuna pesa iliyokwisha patikana. Sera yetu ni kwamba tunajenga wenyewe wakati huo huo tunaendelea kuomba mikopo nafuu, sio kama Kenya mnategemea mikopo by 100%, mikopo ikikosekana hamuwezi kujenga hata kilometer moja, ni aibu Sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mbona unajifanya huoni evidence Kutoka Turkey and I have posted it here twice?
Signing ceremony ndio ushahidi wa kutoka kwa pesa, hukumbuki kwamba China ilikua tayari kutukopesha $7.6B, na ilishatangazwa duniani kwamba Tanzania inajenga SGR kwa mkopo wa China, mbona pesa haikutoka?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
zile za kujaa tope au ?
We ni mbwa Koko lakini hutembei. Njoo Dar usafishe macho. Those commuter rail stations ni kama miamvuli tu.
19DF72E3-D523-49E4-A903-978E08FF6852.jpeg
82D6791B-43DB-4783-B585-1BC2682AC69A.jpeg
817B5946-96FE-48EE-AEDB-77FE2AEE2997.jpeg
C8ADE6EC-6EB8-4EC6-B921-F99A40B01286.jpeg
2B35BE2B-39DE-46DA-B900-9C70F44C3442.jpeg
 
Weka kuonyesha lini Turkey ilitoa pesa, tuliomba sehemu nyingi sana na kuahidiwa lakini hakuna pesa iliyokwisha patikana. Sera yetu ni kwamba tunajenga wenyewe wakati huo huo tunaendelea kuomba mikopo nafuu, sio kama Kenya mnategemea mikopo by 100%, mikopo ikikosekana hamuwezi kujenga hata kilometer moja, ni aibu Sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Read this article word by word. From the first sentence to the last

 
BRT - flooding, overcrowding, delay ticketing, insecurity, accidents etc
Commuter- none of the above.
😂😂😂😂😂😂 what kind of urban transport isn’t overcrowded during rush hours? floods happen everywhere. What kind of insecurity are you talking about? And do you have any proof of delays in ticketing?
 
Read this article word by word. From the first sentence to the last

Signing ceremony ndio ushahidi wa kutoka kwa pesa, hukumbuki kwamba China ilikua tayari kutukopesha $7.6B, na ilishatangazwa duniani kwamba Tanzania inajenga SGR kwa mkopo wa China, mbona pesa haikutoka?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom