Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Standard chatered wametoa pesa lini hebu tueleze 🤣🤣🤣🤣

hebu wasililize waliosaini mkataba 😅😅😅👇👇👇👇👇 mpaka kamasi zinakutoa


Husikii akisema wanatia sahihi ukopeshaji wa MKOPO na benki ya standard chartered? Au siku hizi kiswahili pia huelewi? Wewe hauna tafauti na huyu kilaza mwenzako anyeongea hapo. Eti Standard chartered bank ni benki ya Tanzania. Tangu lini?
 
Leta link inaonesha mturuki alitoa 0.5b usd kumalizia phase two ukipata mm mafunga acc jamii forum 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Links nimetoa nyingi sana kurasa za nyuma. Pekuapekua
 
Bado atabisha, akirudi notag
Ni wabishi by nature. Loan ya standard chartered bank walikana hadi baadhi yao wakahapa ila sasa wameshaanza kukubali ni kweli standard chartered bank is financing their sgr. Hata hii ya Export Credit Bank ya Turkey watakataa tu hadi wahape pia 😂 😂
 
Ni wabishi by nature. Loan ya standard chartered bank walikana hadi baadhi yao wakahapa ila sasa wameshaanza kukubali ni kweli standard chartered bank is financing their sgr. Hata hii ya Export Credit Bank ya Turkey watakataa tu hadi wahape pia 😂 😂
Si ubishi ni denial.
 
I already told you hiyo ni ya kupumbaza vilaza kama wewe wasiojielewa
Huu ni wivu kuona kwamba Kenya hamkuweza kujenga hata sentimeta moja kwa kutumia pesa ya ndani.

Hadi sasa pesa iliyotumika kujenga ni $3.2B hadi Dodoma, Standard Chartered wametoa $1.46B, Sisi wenyewe tumetoa $1.7B, kama unabisha weka ushahidi kama huo wa Standard Chartered kuonyesha tunasaini kupokea hiyo $1.7B toka nchi au Bank yoyote ile

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Are these the stations that can rival our BRT stations?
Our commuter Railway stations are better than Tanzanian SGR stations.

images%20(24).jpeg
 
Kama ya standard chartered ndio hamkuwa mnakubali sasa ya turkey ndio mtakubali?
Turkey's Export Credit Bank, a state-owned bank, is financing your sgr





I know you will not read any of the above links but I wish you could

Evidence please

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Evidence ndio hizo hapo juu
 
Back
Top Bottom