ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
30yrs chinnese owned project 😀😀 ila mchina anaakili sana
30yrs chinnese owned project 😀😀 ila mchina anaakili sana
Kitaeleweka lini ????🤣🤣🤣 Hebu ntajie mwaka utakaoeleweka🤣🤣👇👇👇Hili daraja halina mvuto wowote, imagine Mombasa Gate bridge 70m high and 1.5km long,kitaeleweka tu🤣
Akikuonesha nitag plz🤣🤣Likwapi hilo daraja?
Ngoja aniletee matakataka ya 3D 😂😂😂Akikuonesha nitag plz🤣🤣
M na enjoy weekendenjoy x.mass
Sasa ya nini polisi mfikishane hlo na mnawajua hutafuta visababu..fuata taratibu zao ukifika kituoni ongea na OCS, hao wadogo sio wakujibizana nao labisa
Anunue G-wagon si media zao zingeliwaka moto, kila mtu youtube ingelikua ndio ishuHiyo amehire tu.
Koinange sio wakumfananisha na kiba wewe, unafikiria ku afford ni sawa na matunzo yake ya hilo gari..so r u trying to say Ali Kiba can't afford that car? If a radio presenter Koinange in Kenya can afford, how about a top 5 artist in East Africa with a list of endorsements? unakuwa falamanga aisee!
Nanusa wivu wako kwa mbali. Poleni mtakuwa na mradi kama huu mwaka wa 243630yrs chinnese owned project 😀😀 ila mchina anaakili sana
Koinange sio wakumfananisha na kiba wewe, unafikiria ku afford ni sawa na matunzo yake ya hilo gari..
Ali Kiba is way richer than Koinange! As a matter of fact Ali Kiba can employ Koinange!Koinange sio wakumfananisha na kiba wewe, unafikiria ku afford ni sawa na matunzo yake ya hilo gari..
Michina na wabongo[emoji1787][emoji1787]komora096 unajua hii ni nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1659607View attachment 1659608
Nakubaliana na wewe. G wagon ni ksh15 million kwa factory. Uje nayo Afrika ulipe tax ya 40% au nchi zingine hata 100% bei tayari imeshafika ksh 20 million au zaidi.Anunue G-wagon si media zao zingeliwaka moto, kila mtu youtube ingelikua ndio ishu
Gigy money[emoji848][emoji848]ivi showz za wasanii zmesharuhusiwa apo naii?
[emoji116][emoji1241][emoji1241]huyu gigymoney anatengeneza pesa kuliko avrilView attachment 1659609
Wewe kasome historia ya Jeff Koinange. Kafanya hata na CNN ikiwemo ABC ya America na reuters. Wacha madharau mzee. Huyo sio radio presenter kama wengine. Huyo amepiga pesa ndefu sana. Halafu anatoka kwa Koinange family. One of the dynasty families in Kenya. Chief Mbiu Koinange alikuwa mtu mkubwa sana siku za zamani na alimiki shamba kubwa sana.so r u trying to say Ali Kiba can't afford that car? If a radio presenter Koinange in Kenya can afford, how about a top 5 artist in East Africa with a list of endorsements? unakuwa falamanga aisee!
Kodi si ndio mnakomolewa nyiePrivate sector is dead?kwahyo government inakusanya revenue kutoka wapi? Tumia akili iyo kidogo uliotumia kutype basi
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Expressway pale Westlands 😝😝😝30yrs chinnese owned project 😀😀 ila mchina anaakili sana
Kheee!![emoji1787][emoji1787]Ali Kiba is way richer than Koinange! As a matter of fact Ali Kiba can employ Koinange!
Dah kimeshanuka 😂😂😂😂
af utakua mshamba sana we bwegeGigy money[emoji848][emoji848]
Huyo kaimba nyimbo nimpekue au ndio una mbrand tumjue na sisi