endeleeni kuwa ranking[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo jamaa amepewa $25 million. Hongera kwake. Ni hatua nzuri lakini kwa innovation index mbona Kenya huwa iko ranked top 5 hapa Africa kila wakati na bodies kadhaa? Huwa tunawapiga sana kwenye rankings za innovation miaka nenda miaka rudi.
Mimi huwa sijui mambo mengi kuhusu TZ.Huijui au???🤣🤣🤣
Huyu mshikaji Tony254 huwa wakati mwingine ananishangaza huwa ana-ignore facts sasa sijui atasaidika vp?Kuna nyumbu anasema wanatupita kwenye mobile money transactions 😂😂😂View attachment 1659508
Ila hakuna sehemu munawaacha wakenya salama kila kona munawapa bakora tu🤣🤣Kuna nyumbu anasema wanatupita kwenye mobile money transactions 😂😂😂View attachment 1659508
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Ww unafkiri anakwenda kipuuzi tu kwanza sikia bei za viingilio alaf ujue 🤣🤣Huyu achunge. Huko South Sudan anaweza kupigwa marisasi. Asipende pesa sana hadi anahatarisha maisha yake. Next utasikia anaenda Afghanistan kupiga show.
nyerere bridgeHao wanakuanga wale marejects. Wale ambao wamepata D+ ndio wanachukuliwa kuwa polisi. Sasa unategmea tabia gani kutoka kwa dumb-ass kama hawa.
huyu Afrie lazma ni Mkenya na cha ajabu njaa hata Kenya ipo!Acha apige pesa alete nyumban aekeze sasa kwenye viwanda sio kula bata tu na kuwapachika wanawake mimba zisizo na idadi
Kumbe hii ndio inaitwa Nyerere bridge. Halafu huwa inawaka usiku kweli?