Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So if that's false data what makes the data you guys were using be legit? If data is positive to tanzania you glorify it if it says something negative it becomes fake data hehe pliiiiz
Wacha drama nakunipotezea muda
 
We hata unaelewa urban population growth inamaanisha nini? Hiyo inaonyesha watanzania wengi wanatorojea mjini maanake mikoani kubovu
Au sio View attachment 1663283
Screenshot_20201230-220735.jpg
 
Kumbe mlevi hata hueleweki, aliyemuelewa huyu mlevi plz.
Screenshot_20201230-220749_Chrome.jpg

Hata kama ingekua ni false data kwani kila ranking kwa mtandao inadanganya kila mahali ukiangalia wanasema tanzania is one of the poorest countries in the world ai jameni tuwe wakweli wenzangu
 
Umeitoa wap iyo dingi pole sana
Kipindi hichi cha baridi, huwa kuna flu sana, hivyo virusi vya Corona navyo vinapata nafasi ya kuenea kirahisi.
Wewe umechanganyikiwa. Tanzania iliwacha kuwa nchi ya kijamaa zaidi ya miaka ishirini iliyopita. Wewe hata hujui historia ya nchi yako. Yaani bado unafikiri kuwa Tanzania ni socialist country? Baada ya Mwalimu Julius Nyerere kufariki, Watanzania walikaa chini na kujadiliana na kukubaliana kuwa mfumo wa ujamaa sio nzuri kwa uchumi wa Tanzania na Tanzania ikaamua kubadili mfumo wa uchumi kutoka socialist hadi capitalist. Jifunze historia ya nchi yako kabla uje kudebate na mimi.
Katiba ya Tanzania iko wazi kabisa kuwa Tanzania ni nchi ya kijamaa.
 
Hawa jirani zetu huwa wakiona kitu kama hii huwa wanaumia sana sema tu hawawezi kufunguka. Ingekuwa wao ndio wana BRT ya namna hii ungesikia "The only super BRT in east and central Africa" 😁 😁 😁
BRT mtaimba hadi lini sisi tuna super highways hujaskia tukisema sahii nisha anzisha commuter trains instead of BRT na hujaskia tukisema sasa BRT ndo inaleta raslimali
 

Attachments

  • Screenshot_20201230-222045_Chrome.jpg
    Screenshot_20201230-222045_Chrome.jpg
    113.6 KB · Views: 7
BRT mtaimba hadi lini sisi tuna super highways hujaskia tukisema sahii nisha anzisha commuter trains instead of BRT na hujaskia tukisema sasa BRT ndo inaleta raslimali
Unaongelea hiyo mitumba inayotembea kwenye vyuma chakavu (mgr) kama inakata viuno? Sasa super highway ndio BRT au umekunywa chang'aa leo?
 
Unaongelea hiyo mitumba inayotembea kwenye vyuma chakavu (mgr) kama inakata viuno? Sasa super highway ndio BRT au umekunywa chang'aa leo?
Hamna jipya kila siku BRT, brt nyerere bridge na posta hvyo tu ndo mi huskia kila siku kufika kwenyu mbona musiongelee city kama innovation ama manufacturing vitu ambavyo vinaongeza raslimali
 
Asante.

Nimeweka hapa kwasababu ni kijiweni, huko kwengine niliacha kutembelea sana kwasababu ya wadau wengi kuwa na mitazamo hasi na maendeleo ya nchi yetu. Hapa ukiacha utani na vijembe huwa tunapeana taarifa za maendeleo.

Ni kweli kitakwimu Tanzania hakuna Corona, hii inachangiwa na vitu vingi kama hali ya hewa (joto), vyakula vya asili, kiasi cha UV light kilichopo na herd immunity inayotokana na young population kubwa (85% below 25yrs).

Pia Tanzania huwa haikubali chanjo za hovyo hovyo, baadhi ya hizi chanjo huwa zinapunguza immunity. Kuna study moja iliyofanyika US ikionesha watu waliopata flu shot mwaka jana walipopata Corona ilibidi wawekwe kwenye ventilators.
Pole sana kaka.
 
Screenshot_20201230-224457_Chrome.jpg
Masomo pia hampendi 😂😂😂😂 sasa niulize na si kwa ubaya.... ni wapi tanzania wametushinda hata pamoja?
 
Kwa hivyo Tanzania nyie hamna private companies kubwa? Ndio maana nimekuwa nikisema kuwa private sector ya Tanzania ni ndogo sana.
Kimsingi mfumo wa kijamaa wa Tanzania umeundwa ku encourage sekta binafsi nyingi ndogo ndogo, hivyo collectively sector binafsi ni kubwa. Tanzania haiendekezi ukiritimba (monopoly) na kama itatokea mtu mmoja akaaanza kuota mapembe (mf kuhodhi mashamba mengi makubwa) basi juhudi zitafanyika kuyakata hayo mapembe yake.
 
A third meaning two thirds are okay not a bad rating better than being in the top 20 poorest countries in the world hehe tanzania is poor just that it its government builds structures that don't really add much to the economy and you call that development development is more than just infrustracture don't behave like a poor man who wears suits.....
Embu leta mfano wa jengo limejengwa na serikali we fukara kutoka kunya
 
BRT mtaimba hadi lini sisi tuna super highways hujaskia tukisema sahii nisha anzisha commuter trains instead of BRT na hujaskia tukisema sasa BRT ndo inaleta raslimali
Ww uko emty sana tuliza kende fwatilia kwanza alfu ndio uchangie
 
Back
Top Bottom