Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi CBD

20201230_074909.jpg
 
Habari zenu wadau wa kijiwe chetu, sikukuu yangu haikuwa nzuri sana, nilisikia homa, baridi na kichwa kuuma. Juzi nilipima na kukuta nina Corona. Niko poa kwa sasa ila naona uwezo wa kunusa umepotea.

Hii ni rapid test kit niliyotumia kujipima, inachukua dakika 15 kupata majibu.

Before
View attachment 1662539

After
View attachment 1662540
Pole sana mkuu, Mwenyezi Mungu akujalie upone haraka ili panapo majaliwa tuingie wote 2021 kwa kishindo.

Pia usisahau dawa zetu zilee Watz ambazo corona hataki hata kuzisikia, zitamaliza hilo tatizo mapema kabisa mkuu.

Nikutakie afya njema bro.
 
Nani anataka kuwa Capitalist?, hahaja, ninyi ndionatamani muwe Socialist ili muepukane na Slums, tribalism, Nepotism, big gap between rich and poor, land grabbers, Nani anataka huo ujinga?.

Sisi huku tunawapelekea wananchi vijijini huduma za maji, elimu, na afya bure bila malipo, ardhi inamilikiwa na umma, kila raia anayo haki ya kupata ardhi kwa ajili ya kujipatia chakula na makazi bure, nani anataka ubepari?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna jamaa aliwahi sema hapa, hao mabwana zao waliowadanganya kuhusu ubepari, kwenye nchi zao wanasera za kijamaa (mfano Nationa Health Service). Wakiwa nje ya Uingereza ili kuhalalisha umafia, wanasema ubepari, sasa hawa wenzetu walioshikishwa akili wanashindwa kuelewa mchezo.
 
Nani anataka kuwa Capitalist?, hahaja, ninyi ndionatamani muwe Socialist ili muepukane na Slums, tribalism, Nepotism, big gap between rich and poor, land grabbers, Nani anataka huo ujinga?.

Sisi huku tunawapelekea wananchi vijijini huduma za maji, elimu, na afya bure bila malipo, ardhi inamilikiwa na umma, kila raia anayo haki ya kupata ardhi kwa ajili ya kujipatia chakula na makazi bure, nani anataka ubepari?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu ni mnafiki serikali yao inamiliki hotels pia!
 
Tatizo ni kuwa hili basi mpya litakuja kuchakaa haraka sana. Mtaanza kubeba gunia za viazi humo ndani. Hata kuku mtawabebea humo ndani na wataanza kuhara humo ndani.
Hahahaaaa, Abood huwa haweki bus mbovu, pia ukiacha Abood zipo zingine kali mno, mfano BM, New Force, Shabiby, Tahmeed, Upendo, n.k yn zote hzo ni viwango ambavyo huwa tunapanda na wazungu humo ndani (najua Wakenya mnaabudu sn wazungu).

Kwakifupi huwezi kuta bus mbovu mbovu ipo pale Msamvu bus terminal.
 
Haya mambo huwa yanamtisha sn Tony254 na wakenya wenzake [emoji3][emoji3][emoji3]
huyu Tony254 amekuwa na wivu wa kipuuzi etu anakandia ujenzi wa hoteli Dodoma unaofanywa na serikali ya Jiji ila kule kwao county governments zikifanya hayo huwa yuko mbia ku-post humu! Na kingine hiyo GoK (claimed capitalists) inamiliki hotels pia!
 
Halmashauri ya Jiji inajenga kutokana na Maputo yake tena mbili one 11 floors another 6-7 with a shopping mall and conference center below! Kuna sababu kwanini Tanzania haina sehemu zinakaa Turkana! BTW ur GoK is broke so i won't be surprised! wacha wivu wa kike!

Hoteli na malls wachieni private sector wajenge. If you want to be a real capitalist economy sector zingine wachieni private sector jameni.
 
Habari zenu wadau wa kijiwe chetu, sikukuu yangu haikuwa nzuri sana, nilisikia homa, baridi na kichwa kuuma. Juzi nilipima na kukuta nina Corona. Niko poa kwa sasa ila naona uwezo wa kunusa umepotea.

Hii ni rapid test kit niliyotumia kujipima, inachukua dakika 15 kupata majibu.

Before
View attachment 1662539

After
View attachment 1662540
Umeitoa wap iyo dingi pole sana
 
Kwahiyo hamna madaraja yanafunguka na kufunga yenye capacity kama Busisi-Kigongo?
Ndio. Tanzania hamna. Hata Afrika nzima hamna. Lamu floating bridge ndio ya kwanza Afrika nzima inayojifungua na kujifunga.
 
Back
Top Bottom