Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwanza stone town international airpot.View attachment 1662806
33091B03-F3C9-4B7E-BBD0-4799E40E7DFD.jpeg
4DC4F3FF-51AE-4085-9D6E-99E6006DBF81.jpeg
120E1969-6418-41C6-94E9-7C315548599C.jpeg
 
hawa jamaa utabishana nao hadi yesu arudi, unajipotezea mda bure...mtu yeyote mwenye exposure na akili timamu anajua nation media group is the largest media company in east and central africa
Pwahahahahaha. Tumewafinya mpaka mnajikojolea wenyewe. Kenya Under Queen Elizabeth Empire.
 
Hz zote umelist hapa ni ushuzi wa bundi, hakuna hata moja inayokaribia Zanzibar airport achilia mbali JNIA [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimekuambia JKIA pekee yake inapokea abiria wengi kushinda airport zenu zote
 
Kwenye idadi ya abiria kwa airport na idadi ya mizigo inayopakuliwa kwenye port hamutawahi kutufikia.
Tumeshalifanyia kazi hili, pia hata port tayari tushamaliza mchezo so subiri data mpya.

Hakuna kitu hata kimoja Kenya inapaswa kuizidi Tz labda ukabila, njaa, umasikini uliopitiliza, nepotism, ushenzi na magonjwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
hawa jamaa utabishana nao hadi yesu arudi, unajipotezea mda bure...mtu yeyote mwenye exposure na akili timamu anajua nation media group is the largest media company in east and central africa
Hawa jamaa usireason nao, wamekuja kutroll. Wewe pia troll ukipata nafasi.
 
A
Wacha kabisa mkuu, niliweka picha hapa eti Tony254 akasema ni kwasababu mpya wkt ishapiga mzigo vya kutosha kabisa, hajui kwmb ili uwe na wateja bongo inatakiwa uwe na bus za kisasa, ona eti tony anasema ni mpya hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1662768View attachment 1662770
Tanzania sector ya land transportation especially mabus imechangamka sana.

Hizi company kubwa za mabus haiwezi kupita miaka 4 hawajaagiza gar mpya!! Na wanaagiza nyingi afu za kisasa ndo mana ukiangalia bus nyingi ni namba DN kuendelea hakuna C. Hizi za zamani zinauzwa vijijini na nchi kama kenya, somalia, burundi na uganda.
 
Back
Top Bottom