President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Nipuuze tu maana kwa sasa umekojoa tayari. Nimekuridhisha, ukiwa na hamu tena niite nikupige msumari mwingine.Wewe ni wa kupuuzwa
Nipuuze tu maana kwa sasa umekojoa tayari. Nimekuridhisha, ukiwa na hamu tena niite nikupige msumari mwingine.Wewe ni wa kupuuzwa
Shida inaanzia hapaHio award haina uhusiano wowote na number of tonnes zinazopakuliwa. Kumbuka Durban port ndio inayopakua mizigo mengi zaidi hapa Afrika na wao hawakushinda. Halafu hio award ni kuhusu cruise port. Sasa sijui pengine tatizo ni kuwa huelewi maana ya neno cruise port.
















what a flex, watalii na waimbaji wote wanakimbilia Tanzania
hell no Tanzania inalishwa na maziwa ya Asas, Bakhresa, Tanga fresh na other local dairy factories! Brookside does not exist in Tanzania!Section Ruiru Town,,the home of Brookside company that feed the entire EA with milk,,View attachment 1662941
Huyo amekuja kupiga pesa yake nono. Usifikiri kwamba anawapenda. Huyo anafanya biashara.
kwann asije kenya kwa matajiri?
Wenye wivu wajinyonge
Hii hapaNimerudi, nipeni mada. Ile ya real estate nishamaliza show.




Hehehehee leo nipo humu mpk saa 9 usiku nasubiri nyani ikatize niitie mshale wa makalio![]()





Sijui google waongo ama vipi, hebu tuweke tuzione.Kenya has only 18 known airports
Tanzania has 21
Fimbo baada ya fimbo. Chato ikisajiliwa zinafika 22
View attachment 1663181View attachment 1663182
Nilishawaambia tuwewapiga gap kwenye airports pia Tony254 akabisha! sasa ku-mention airports zao mbovumbovu kaamua kuzikana! wangoje gap lingine kwa SGR baada ya train zetu kuwasili toka South Korea! Kwenye marine services hawatukaribii hata kiduchu as far as marine vessels operation is concerned!Kenya has only 18 known airports
Tanzania has 21
Fimbo baada ya fimbo. Chato ikisajiliwa zinafika 22
View attachment 1663181View attachment 1663182
Hii mada nishafunga lakini wakitaka narudi mda wowote, niachie hawa.
Mambo yanabadilika sana katika hii dunia ya leo hivyo usishangae kuona port yenu ikaja kupitwa na dar port. Infact, dar port ilikuwa kama neglected na awamu tatu za uongozi wa nchi yetu zilizopita (about 30 years) ndio maana Mombasa port ikatake over. Dar port ina fursa ya kupokea na kusafirisha mizigo mingi zaidi kuliko mombasa port kutokana na strategic location yake. Pia upanuzi wa hii bandari unaoendelea sasa utaifanya bandari ya dar ku-handle mizigo mingi zaidi kuliko awali.My friend hamtawahi kuwa na more passengers in your airports than us. Hamtawahi kupakua tani nyingi za mizigo in your ports kutushinda. Mark my words.
Hii apa ya kwnz ishakula mshale imetulia

Nimerudi, nipeni mada. Ile ya real estate nishamaliza show.




Speed uliyotoka nayo Makuru kayaba co hiiHii mada nishafunga lakini wakitaka narudi mda wowote, niachie hawa.




Hii apa ya kwnz ishakula mshale imetulia![]()