Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Habari zenu wadau wa kijiwe chetu, sikukuu yangu haikuwa nzuri sana, nilisikia homa, baridi na kichwa kuuma. Juzi nilipima na kukuta nina Corona. Niko poa kwa sasa ila naona uwezo wa kunusa umepotea.

Hii ni rapid test kit niliyotumia kujipima, inachukua dakika 15 kupata majibu.

Before
corona1.png


After
corona2.png
 
Habari zenu wadau wa kijiwe chetu, sikukuu yangu haikuwa nzuri sana, nilisikia homa, baridi na kichwa kuuma. Juzi nilipima na kukuta nina Corona. Niko poa kwa sasa ila naona uwezo wa kunusa umepotea.

Hii ni rapid test kit niliyotumia kujipima, inachukua dakika 15 kupata majibu.

Before
View attachment 1662539

After
View attachment 1662540
Pole tunakuombea upone haraka. Lakini umepost kwa forum hii kimakosa maana hawa Wabongo wenzako hawaamini kwamba corona ipo na wanaweza kukukejeli kwa kupost habari hii hapa JF. Upo nchi gani mdau maana niko sure haupo Tanzania?

Cc Geza Ulole joto la jiwe
 
Pole tunakuombea upone haraka. Lakini umepost kwa forum hii kimakosa maana hawa Wabongo wenzako hawaamini kwamba corona ipo na wanaweza kukukejeli kwa kupost habari hii hapa JF. Upo nchi gani mdau maana niko sure haupo Tanzania?
Asante.

Nimeweka hapa kwasababu ni kijiweni, huko kwengine niliacha kutembelea sana kwasababu ya wadau wengi kuwa na mitazamo hasi na maendeleo ya nchi yetu. Hapa ukiacha utani na vijembe huwa tunapeana taarifa za maendeleo.

Ni kweli kitakwimu Tanzania hakuna Corona, hii inachangiwa na vitu vingi kama hali ya hewa (joto), vyakula vya asili, kiasi cha UV light kilichopo na herd immunity inayotokana na young population kubwa (85% below 25yrs).

Pia Tanzania huwa haikubali chanjo za hovyo hovyo, baadhi ya hizi chanjo huwa zinapunguza immunity. Kuna study moja iliyofanyika US ikionesha watu waliopata flu shot mwaka jana walipopata Corona ilibidi wawekwe kwenye ventilators.
 
Wacha chuki babaa. "Uchafu wa Kunya" ndio kusema nini sasa?
Wala sio chuki ni km tu unavyo ita nchi ya malazy na bado tunawalisha , ww uliwai kuona wapi ukipingwa kusema hvyo...mbna hatusemi ni chuki
 
Habari zenu wadau wa kijiwe chetu, sikukuu yangu haikuwa nzuri sana, nilisikia homa, baridi na kichwa kuuma. Juzi nilipima na kukuta nina Corona. Niko poa kwa sasa ila naona uwezo wa kunusa umepotea.

Hii ni rapid test kit niliyotumia kujipima, inachukua dakika 15 kupata majibu.

Before
View attachment 1662539

After
View attachment 1662540
Pole ndug, tupo pamoja jitaid kwa kutumia vitu vyet vya kienyej utaregain faster,wish you all the best..
 
Serikali yenu ndio inajenga hoteli? What a confused country. Hii nchi yenu bado ni socialist. Mbona huwa mnajiita capitalist country ilhali serikali yenu inajenga mahoteli? Haya ni maajabu ya Musa
komora096 Nicxie
Halmashauri ya Jiji inajenga kutokana na Maputo yake tena mbili one 11 floors another 6-7 with a shopping mall and conference center below! Kuna sababu kwanini Tanzania haina sehemu zinakaa Turkana! BTW ur GoK is broke so i won't be surprised! wacha wivu wa kike!

 
Habari zenu wadau wa kijiwe chetu, sikukuu yangu haikuwa nzuri sana, nilisikia homa, baridi na kichwa kuuma. Juzi nilipima na kukuta nina Corona. Niko poa kwa sasa ila naona uwezo wa kunusa umepotea.

Hii ni rapid test kit niliyotumia kujipima, inachukua dakika 15 kupata majibu.

Before
View attachment 1662539

After
View attachment 1662540

Pole sana mkuu Chamoto, Upone haraka .
 
Habari zenu wadau wa kijiwe chetu, sikukuu yangu haikuwa nzuri sana, nilisikia homa, baridi na kichwa kuuma. Juzi nilipima na kukuta nina Corona. Niko poa kwa sasa ila naona uwezo wa kunusa umepotea.

Hii ni rapid test kit niliyotumia kujipima, inachukua dakika 15 kupata majibu.

Before
View attachment 1662539

After
View attachment 1662540
Jifukize michai chai. Hiyo ni dawa unapona kwa haraka.

Mimi kipindi cha mwezi wa nne niliipata nilikuwa najifukiza michai chai na kunywa K-Vant ilipotea fast. Huo ni ugonjwa wa kawaida sana.
 
Serikali yenu ndio inajenga hoteli? What a confused country. Hii nchi yenu bado ni socialist. Mbona huwa mnajiita capitalist country ilhali serikali yenu inajenga mahoteli? Haya ni maajabu ya Musa
komora096 Nicxie
Nani anataka kuwa Capitalist?, hahaja, ninyi ndionatamani muwe Socialist ili muepukane na Slums, tribalism, Nepotism, big gap between rich and poor, land grabbers, Nani anataka huo ujinga?.

Sisi huku tunawapelekea wananchi vijijini huduma za maji, elimu, na afya bure bila malipo, ardhi inamilikiwa na umma, kila raia anayo haki ya kupata ardhi kwa ajili ya kujipatia chakula na makazi bure, nani anataka ubepari?
 
Nani anataka kuwa Capitalist?, hahaja, ninyi ndionatamani muwe Socialist ili muepukane na Slums, tribalism, Nepotism, big gap between rich and poor, land grabbers, Nani anataka huo ujinga?.

Sisi huku tunawapelekea wananchi vijijini huduma za maji, elimu, na afya bure bila malipo, ardhi inamilikiwa na umma, kila raia anayo haki ya kupata ardhi kwa ajili ya kujipatia chakula na makazi bure, nani anataka ubepari?
Mwambie hizi hapa ndizo kanuni za ujamaa zilizoainishwa kwenye azimio la Arusha

Imani ya kijamaa
(a) Kwamba binadamu
ni sawa;

(b) Kwamba kila mtu anastahili heshima;

(c) Kwamba kila raia ni sehemu ya Taifa na anayo haki ya kushiriki sawa na wengine katika Serikali tangu ya Mitaa, ya Mikoa hadi Serikali Kuu;

(d) Kwamba kila raia anayo haki ya uhuru wa kutoa mawazo yake, ya kwenda anakotaka, wa kuamini dini anayotaka na wa kukutana na watu mradi havunji Sheria;

(e) Kwamba kila mtu anayo haki ya kupata kutoka katika jamii hifadhi ya maisha yake na ya mali yake aliyonayo kwa mujibu wa Sheria;

(f) Kwamba kila mtu anayo haki ya kupata malipo ya haki kutokana na kazi yake

(g) Kwamba raia wote kwa pamoja wanamiliki utajiri wa asili wanamiliki utajiri wa asili wa nchi hii ukiwa kama dhamana kwa vizazi vyao;

(h) Kwamba ili kuhakikisha kuwa uchumi wa nchi unakwenda sawa Serikali lazima iwe na mamlaka kamili juu ya njia muhimu za kuukuza uchumi; na

(i) Kwamba ni wajibu wa Serikali, ambayo ni watu wenyewe, kuingilia kati kwa vitendo maisha ya uchumi ya Taifa ili kuhakikisha usitawi wa raia wote na kuzuia mtu kumnyonya mtu mwingine au kikundi kimoja kunyonya kikundi kingine na kuzuia limbikizo la utajiri kufikia kiasi ambacho hakipatani na siasa ya watu wote kuwa sawa.
 
Back
Top Bottom