Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndiyo maana huwa nawaambia hawa wakunya kwamba maendeleo siyo maghorofa na barabara za Nairobi tu. Tz tunajitahidi kuwekeza kwenye social services katika kila sector ya maisha kila mkoa, na wilaya na ushahidi huwa tunawakea humu humu jf lakini wao wamebaki kupost vipicha vya maghorofa ya Nairobi tu. 😀 😀 😀

Halafu ukiwakumbusha kuwa hawa nao ni wakenya. Wanang'aka!!!

IMG_2414.jpg
 
Back
Top Bottom