The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Ndo hilo hilo na hayo yote ni majina yake.Ndio. Hii nilikuwa naijua kama kigamboni bridge. Labda kama mlibadilisha jina.
Ndo hilo hilo na hayo yote ni majina yake.Ndio. Hii nilikuwa naijua kama kigamboni bridge. Labda kama mlibadilisha jina.
Usipate presha. Nimeenda kumtazama youtube nimeona wimbo zake zina views chini ya milioni moja. Ana wimbo moja tu iliyo na zaidi ya 1 million views. Huyo bado msanii mdogo sana.angekua beyonce POVU lisingekutoka ata!
anyway huyo ni entertainer yupo kazini wala atumii nguvu sana anakula kiulainiiiiii industry inammbeba!!
ndio ni msanii mdogoUsipate presha. Nimeenda kumtazama youtube nimeona wimbo zake zina views chini ya milioni moja. Ana wimbo moja tu iliyo na zaidi ya 1 million views. Huyo bado msanii mdogo sana.
😂😂😂😂😂
Nashangaa nae kichwa kichwa anapost bila kukaguahuyu Afrie lazma ni Mkenya na cha ajabu njaa hata Kenya ipo!
Kwenye miji mizuri viaduct huwa za trains sio express way...but anyway am not kunyan
Nenda LA California au Houston Texas unionyeshe viaduct yoyote ya train. Wana viaducts nyingi lakini zote ni za magariKwenye miji mizuri viaduct huwa za trains sio express way...but anyway am not kunyanView attachment 1659639
Private sector is dead?kwahyo government inakusanya revenue kutoka wapi? Tumia akili iyo kidogo uliotumia kutype basiYour problem ni kwamba private sector is dead ,hapa unatafuta excuse maana ujenzi wa magorofa huko kwenu mnategemea public sector
Kwani Kenya na Nairobi in perticular umekuta hawajengi barabara? Barabara zinajengwa tena classic kuliko zenu na magorofa ya kutetemesha Africa yanasimamishwa daily
Tukiwaambia muache ujamaa unawafanya kuwa wavivu na maskini mnabisha,yakowapi sasa
Ila barabara za state Noma kwakwel kwanza ni concretes alafu pana na madaraja kama yote...wale jamaa wametoboa kitambo sanaNenda LA California au Houston Texas unionyeshe viaduct yoyote ya train. Wana viaducts nyingi lakini zote ni za magari
private sector imekufa kivipi??na wakati dsm ndio hii sasa inaiacha nairobi??Your problem ni kwamba private sector is dead ,hapa unatafuta excuse maana ujenzi wa magorofa huko kwenu mnategemea public sector
Kwani Kenya na Nairobi in perticular umekuta hawajengi barabara? Barabara zinajengwa tena classic kuliko zenu na magorofa ya kutetemesha Africa yanasimamishwa daily
Tukiwaambia muache ujamaa unawafanya kuwa wavivu na maskini mnabisha,yakowapi sasa
Muarabu hapa hakutala ujinga believe me hii ndio moja ya vitu vinampa meko hasira, kwamba tunamadini gas alafu hatutoki kivipi daahKwenye miji mizuri viaduct huwa za trains sio express way...but anyway am not kunyanView attachment 1659639
EA nzima hamna bridge la six lanes kama hilo! hata mtakayojenga Mombasa hayakuwa na 6 lanes!
H
Hapo chini panaweza pita meli kweli?[emoji16]
Hili daraja halina mvuto wowote, imagine Mombasa Gate bridge 70m high and 1.5km long,kitaeleweka tu🤣iende wap???
Likwapi hilo daraja?Hili daraja halina mvuto wowote, imagine Mombasa Gate bridge 70m high and 1.5km long,kitaeleweka tu🤣
Kama kuna msanii wa kenya ana studio kama hii unitag👇👇👇
stand za tope! Hebu leta tuzione! 🤣 🤣 🤣Stand za basi zipo. Labda kama unamaanisha jengo la kupark. Jengo halipo.
Bro gigy money yupo level yake najua ulitaka kutaja Mashalove A.K.A masha manyonyo Ila ukasahau tumekusamehea😁😁😁ivi showz za wasanii zmesharuhusiwa apo naii?
[emoji116][emoji1241][emoji1241]huyu gigymoney anatengeneza pesa kuliko avrilView attachment 1659609