Huoni bango la Mchina? Kuna neno completion! Ndo imetoka hivyo!Hizo znaitwa shoulders za barabara, markings of course hufuata after completion,,there no road on this Earth imejengwa na mchina ikaachwa without markings
Hata nairobi haina alaf wanakwambia wana maendeleo🤣🤣🤣
Halafu anaibuka mtu na stori ya barbara za Tz Hazipo marked.wakati hii ndio mpya haina sehemu ya watembea kwa miguu na baiskel,haina mistari ya Kati.hainabmaeneo ya kusimama hivyo husimama kokote.Yani kwa akili ya mtu muungwana akiangalia hii barabara tayar anajua magumashiView attachment 1658709
😂😂 imeishaa hiyoooHuoni bango la Mchina? Kuna neno completion! Ndo imetoka hivyo!
wajinga ndo wali wao! hapa wanamsifu Mchina badala ya kumkosoa!😂😂 imeishaa hiyooo
Hahaha!!povu la kimataifaa hili, kwhyo mtu aliyeingia nchini kinyamela na kuanza kuzurura na kufanya vibarua vidogo vidogo atakua ni raia halali sioHizo ni propaganda, eti watz! Mbn huku kuna Wakenya kibao ambao walikuja enzi za mababu lkn hatuwaiti ni wakenya bali tunawaita Watz? Mtu kazaliwa huku, kuja kwake ni matokeo ya mababu zake utampokonya vp uraia?
Maisha ya watanzania wanaoishi Kenya ambao mnasema ni ombaomba yametokana na hali ngumu ya Kenya, najua wanatamani kurudi Tanzania lkn haiwezekani mana si watanzania hao bali ni wakenya so wacheni kuwadhalilisha Wakenya wenzenu, au mnataka kutuaminisha kwmb wakazi wa kwenye ma slums yenu wote ni watanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app

Uko na ushahidi gani km hapo ni kenya
Nyie ndio mnaongoza ukanda


Tanzania tuachage ubaguzi. Kuna walimu wangapi wa kitanzania huko nje ya nchi? Haya ni mambo yakizamani kwa kweli.Hili limenifurahisha sana aisee
Ila hatuko kwenye tatu bora 😂Hahahahhahahahahhahahahahahahahhahahahahahahahah leo middle fingure inapumulia makalioView attachment 1658707
Alaf hawa wandani utawaajiri wewe??😅Tanzania tuachage ubaguzi. Kuna walimu wangapi wa kitanzania huko nje ya nchi? Haya ni mambo yakizamani kwa kweli.
Wapi wameandika tatu bora ukipata tag me 🤣🤣🤣🤣🤣 ila wale GDP watasingizia coronaIla hatuko kwenye tatu bora 😂