Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



Hii inakaaje kulipa jina daraja kabla halijaisha? Hii ni kama kumuita mtoto jina kabla hajazaliwa!
 
sema pes wako poa sana kwa graphit mobile game sema wanafel hawawek real team kwa wachezaji mpaka ununue au upate free pack ya kuotea player
Mm binafsi naikubali sn pes kuliko fifa ila tangu simu iharibike nashindwa kuipakua tena kila nikiipakua kwenye ku extract inagoma, but piga ua lazima niichukue cz hakuna game la mpira la simu linafikia pess.
 
Huu kama sio ushamba basi ni nini jamani? Ndio mara yako ya kwanza kucheza FIFA?
Heheheee angalia huyo niliyemsajili ndiyo content yenyewe
Screenshot_20201216-104005.jpg
 
Back
Top Bottom