Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa mimi nakuuliza maswali 2 tu,ili nione je unajua unachokizungumzia!
1.kaligraph alitokea kwenye category ngapi?
2.ni category gani alikuwa nominated?

Jibu hayo maswali nikufundishe kitu mrembo
Ukinijibu swali la kwangu nililokuuliza kule juu ndio ntakujibu faster sana..

Je kuna mbongo aliyewahi kuwa nominated BET?
Km ndio category gani?
Haina haja tuzungushane kabisa kw ishu ndogo km hii, manake naona unajifurukuta tu tabgu sa zile
 
Anataka usaidizi, Dar iko na soko moja lakini kelele wanapiga hapa unaezadhani kuna soko kumi
Wamesema wao hawana malls kw sababu wamezoea masoko, sasa wanashangaa pia hku kuna masoko..

Tena mji km dar kuwa na soko moja ni aibu sana
 
Anataka usaidizi, Dar iko na soko moja lakini kelele wanapiga hapa unaezadhani kuna soko kumi
Siku utapata soko ya kiwango hii kenya nzima mm nafunga acc jamii forum 🤣🤣🤣👇👇

3B95E99E-6049-48F9-8999-4953887B8EF7.jpeg
A31B0E6D-6636-4C32-B0F7-52FBC88BF417.jpeg
2A6E4E2A-68AD-4B09-B05C-E1DC6FEE5E18.jpeg
 
Nenda google ka-search BET Awards 2017 halafu ujue sisi sio size yenu international na hiki kiswahili chetu
Narudia tena, hakuna msanii yyte yule wa tanzania aliyekua nominted BET wewe km unabisha nitajie category
 
Wakati Kisumu inajenge soko mbili
wewe ni mzee wa kukurupuka,ndio sababu wakati wote unakula za uso.

hiyo league ya masoko unayoanzisha huiwezi,mind you tumeanza ujenzi wa masoko 2yrs ago,tulikuwa tukitumia masoko local ya mbao.saa hii ni mikoa muchache sana haina soko.

hiyo soko ya magomeni aliyokupa ichoboy sioni ikipata upinzani wowote kenya nzima,achilia mbali ya moro,dom na hata kisutu dsm.
 
wewe ni mzee wa kukurupuka,ndio sababu wakati wote unakula za uso.

hiyo league ya masoko unayoanzisha huiwezi,mind you tumeanza ujenzi wa masoko 2yrs ago,tulikuwa tukitumia masoko local ya mbao.saa hii ni mikoa muchache sana haina soko.

hiyo soko ya magomeni aliyokupa ichoboy sioni ikipata upinzani wowote kenya nzima,achilia mbali ya moro,dom na hata kisutu dsm.
Modern markets in entire Tanzania haifiki hata 8. Kama unapinga weka picha
 
Back
Top Bottom