Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukinijibu swali la kwangu nililokuuliza kule juu ndio ntakujibu faster sana..

Je kuna mbongo aliyewahi kuwa nominated BET?
Km ndio category gani?
Haina haja tuzungushane kabisa kw ishu ndogo km hii, manake naona unajifurukuta tu tabgu sa zile
Na ww unauliza nini hapo sasa ? Wakina diamond , vanessa, Alikiba Ray vanny tena na kuchukua alichukua kipindi ananza tuu ...ayo sio mambo ya kuongelea Tz
 
overpass at 12 km
IMG_1608185980.109644.jpg
 
we nini tulia ukalie finger usiingilie burudani za watu kwani kakuambia kuwa ni mara ya kwanza au mwisho
Ukiona mtu anajifanya venye huyo nguruwe anajifanya jua hicho kitu anafanya ni mara yake ya kwanza kuifanya. Mbona hajaipost hapa? Mbona leo ndio akaamua kuipost?
 
huyo kashazoea kucheza game za kupanga na ile ya panda.....

yupo local sana achana naye
simu yenyewe anayotumia ni itel andtoid version 2.1.0
Watu wako na PS na wewe bado unaongelea kucheza game kwa simu, angalia venye uko nyuma bado
 
Back
Top Bottom