Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nominated!???..sisi hiyo bet hadi tumechukua we unazungumza nomination!!!..kweli sisi sio level yenu,huyo kaligraph alivyokuwa nominated naona mkaandaa na sherehe kabisa

Napo ashukuru kolabo zile mfululizo alizofanya na wabongo..
Na naona amewekeza juhudi zake kwa sasa kwenye kunyanyua vyuma... Ataishia kuwa bodyguard au Baunsa wa Elements Mziki ukiisha 🙂 😀
 
Mwariro market. Wengine wamejenga soko mbili pesa ikaisha
IMG_20201216_205621.jpeg
 
2020 kafanya collabo na mbongo wa wapi
Tueleimishe mzee baba
We vp!?..kawa nominated 2020 kwa ngoma za mwaka jana,ngoma za mwaka huu subiri mwakani kama atakuwepo

Duh,swali lako limenifanya nijiulize mara 2 kwamba mziki wenyewe unauelewa kweli!
 
Back
Top Bottom