Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,215
Hivi na uleujenzi unaoendelea jirani na Kanisa la wasabato mwenge ni wa kitu gani!?BusStand iko Mwenge
Kinondoni Municipal Stadium iko Biafra
Hivi na uleujenzi unaoendelea jirani na Kanisa la wasabato mwenge ni wa kitu gani!?BusStand iko Mwenge
Kinondoni Municipal Stadium iko Biafra
Nadhani Stadium ya Kinondoni ndio hii inayojengwa hapa mwenge.. jirani na kanisa la Wasabatobiafra ipi? pale barabaran au ndan ndan? mana hapo barabaran napita kila siku.. kwenye ule uwanja naona macosta tu ya kukodishwa yanapaki
Na naona amewekeza juhudi zake kwa sasa kwenye kunyanyua vyuma... Ataishia kuwa bodyguard au Baunsa wa Elements Mziki ukiisha 🙂 😀Nominated!???..sisi hiyo bet hadi tumechukua we unazungumza nomination!!!..kweli sisi sio level yenu,huyo kaligraph alivyokuwa nominated naona mkaandaa na sherehe kabisa
Napo ashukuru kolabo zile mfululizo alizofanya na wabongo..
Nadhani Stadium ya Kinondoni ndio hii inayojengwa hapa mwenge.. jirani na kanisa la Wasabato
According to kenyatta media🤣🤣🤣🤣
We vp!?..kawa nominated 2020 kwa ngoma za mwaka jana,ngoma za mwaka huu subiri mwakani kama atakuwepo2020 kafanya collabo na mbongo wa wapi
Tueleimishe mzee baba
Naona leo munapeana zamu kudundisha kende zake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo siku Tanzania imepokea msaada wa chakula nishtue View attachment 1651526
Mbona source huleti sasa 🤣🤣🤣🤣 kama ile uliyokalia kutu kavu
🤣🤣🤣🤣🤣 na ni fala wa mwisho kenya nzimaMkenya wa kwanza kwa upumbavu katika ubora wake
Sisi kimziki hatuzumzi nanyi..hakuna battle hapa,unanipotezea muda wangu bureNani huyo kachukua BET tz
Alafu bado kw nomination sijasahau, utupe na category kabisa
Watakwambia slum 🤣🤣🤣 yani mzungu asione kutumia sattelite waone wao 😂😂 yani wanamuona mzungu ni mjingamto sinza baada ya ujenzi kukamilika View attachment 1651585
Nani kaongopa mkiambiwa ukweli hamutaku munabaki kulia kisa tanzania inajenga baadhi ya phase kwa pesa yake🤣🤣🤣👇👇Tofauti yetu na nyinyi hatuongopewi km serekali haikopi, ila nyie mnapigwa nyondo za longo longo kila leo..
Hela za ndani vipi jamani donor kantri![]()
🤣🤣🤣🤣🤣 naona leo munavuta nyuzi za kwenye kende zakeAsante waziri wa fedha kwa taarifa