Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
huo ndiyo ukweli,download direct kwa play store....Mm binafsi naikubali sn pes kuliko fifa ila tangu simu iharibike nashindwa kuipakua tena kila nikiipakua kwenye ku extract inagoma, but piga ua lazima niichukue cz hakuna game la mpira la simu linafikia pess.
au version ya simu ipo down chief...?




