🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Si ulisema humjui VP wa Tanzania au co ww ngedere.
Kwani internet kazi yake ni nini? Mbona unapendanga kuacha ubongo kando ukiongea?Si ulisema humjui VP wa Tanzania au co ww ngedere.



Kenya ni failed state, everything is possible.
Yeah, including helping your government with helicoptersKenya ni failed state, everything is possible.


Sio lazima tuende na mfumo wenu, msitulazimishe hatufananiIweje mkose bus stands wakati ni muhimu huduma kuwa sehemu moja kama ilivyo kwa masoko?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwhyo hyo ndege ilitumika kusafirisha mateja siodidn’t you say kiongozi wa serikali?? who’s that has used that chopper?
Hao ni mateja wa tandale mkuuSiezibadilisha agenda
Ama hawa sio viongozi wa Tanzania?
View attachment 1645991
View attachment 1645990


Hapo sasa umebugi aisee, yani unapindisha mpaka mwisho naona utasema alienda kupiga pichai was talking about the latter pic.. the guy was not in government!
ishu ya VP, that doesn’t mean she did travel with it.. afu yey ni kiongozi hawezi kukaa mbele for issue ya usalama..
hapo either alipanda kwa something like uzinduz au kujionea ikoje.. otherwise onyesha video inaonyesha kapaa nayo
Mbona ninyi huwa mnajisifia kuwa na malls kubwa wakati sisi sio mfumo wetu, sisi mfumo wetu ni masoko sio malls




CCM yani wanafiki lkn kumbe wanatambua wakitaka chopper lazima waje kenya..Kenya ni failed state, everything is possible.
Mbona basi mnazijenga hzo malls km sio mfumo wenuMbona ninyi huwa mnajisifia kuwa na malls kubwa wakati sisi sio mfumo wetu, sisi mfumo wetu ni masoko sio malls![]()


Rudia kusoma post yako jinga wewe,una-post vitu halafu unasahau!! au una ubongo wa mbuziNilikuwa nazungumzia kuhusu Ichoboy au mimi? Nilikuwa naongea kuhusu Ichoboy sasa wewe umegeuza mazungumzo unaanza kuongea kunihusu? Uwezo wako wa kufikiria uko chini sana.
Acha wee!!only in tanzaniaKipimo kikuu cha mtu mwenye akili ni kuwa na pesa,huwezi kujiita una akili na huku pesa huna,unajiita una akili na huku umasikini inakuandama!??How!?
Nizitoe wapi hvi ww unafkiri vifaa vya jeshi vinaonekama ovyo ovyo tu🤣🤣🤣Kama unapinga ebu leta picha za military helicopters zaidi ya nne with different registration numbers![]()