komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Naona ulikua kiwandani hyo 50yrs ago[emoji23][emoji23]Kama zile DMU za miaka 50 iliopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ulikua kiwandani hyo 50yrs ago[emoji23][emoji23]Kama zile DMU za miaka 50 iliopita [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo naona unatapatapa[emoji23][emoji23]Ila inauma aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
SGR mchina kawakaanga na huku piaView attachment 1645817
Si mlisema hamtaki brt nyinyi!?Naona ushakubali Kenya inajengwa BRT[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Skrepa[emoji23][emoji23]Brand new 0km[emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
Munaenda kununua DMUs za miaka 30 iliopita alaf munajiona mumepiga hatua🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 wanaumia sana wajenge BRT wapi wataishia kupaka rangi tuSi mlisema hamtaki brt nyinyi!?
Kumbe ile ilikuwa ni maumivu tu ya moyo!..poleni sana
Huwezi pindisha ripoti za engineer[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]somo limekuingia vyemaView attachment 1645816
Jamaa aliyekuwepo kiwandani kuiwakilisha tanzania wakati wa uzalishaji wa DMUs kule spain[emoji23][emoji23]Munaenda kununua DMUs za miaka 30 iliopita alaf munajiona mumepiga hatua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
So unakataa au 🤣🤣🤣🤣 naskia mumenunua na spea kabisa manake hazina uhakika 🤣🤣🤣🤣🤣
Ila inauma aisee🤣🤣🤣[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
SGR mchina kawakaanga na huku piaView attachment 1645817
Siku utapata three level kenya nzima mm nafunga acc jamii forum 🤣🤣🤣🤣🤣Huwezi pindisha ripoti za engineer[emoji23][emoji23]
Zimekaa miaka kumi sasa na zitazidi kukaa..
Yani kaa ukijua tangia miaka kumi iliyopita pangani ipo..we ukitaka nenda mahakamani ukafungue kesi mahakamani
Sent using Jamii Forums mobile app
1.15b ksh 🤣🤣🤣 zimenunuliwa 11 DMUs so calculate tupate figuresi ajabu kusikia zimenunuliwa kwa bei ya brand new
Leo si unateseka sana, tena kumbe umeleta wale wale jamaa wako waliopigwa km nyie[emoji23][emoji23]Wazungu wa wapi hao jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwann uhuzunike[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116]
Kipimo kikuu cha mtu mwenye akili ni kuwa na pesa,huwezi kujiita una akili na huku pesa huna,unajiita una akili na huku umasikini inakuandama!?? 😀🤣😆 How!?Pesa ndio unayo lakini akili huna. Kweli Mungu hawezi kubariki mja kwa kila kitu.
Kila moja wamenunua kwa bei sawa na ksh million 104.5 🤣🤣🤣si ajabu kusikia zimenunuliwa kwa bei ya brand new
I can't pretend to be stupid like them. Kwanza that low-IQ guy called ichoboy01 really pisses me off. Anyway wacha nikuwachie hawa watu. Me I can't deal with them.
Uehhehehehe 🤣🤣🤣👇👇 leo dawa lazma urambe tuLeo si unateseka sana, tena kumbe umeleta wale wale jamaa wako waliopigwa km nyie[emoji23][emoji23]View attachment 1645818
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 eti wanashangaa BRT kupata ajali hawa watu wako nyuma miaka 20 hvi chombo cha moto utashangaa kuungua mbona hawashangai mabasi yao yakiungua motoUsiwe na hasira jamaa...Brt isikuumize sana!
🤣🤣🤣🤣🤣 watabakia na kale kamsemo sisi tunajenga BRT leo miaka mitatu alaf jubilee ilivokuja kuwavunja nguvu wameletewa used DMUs ili iwafariji 😅😅Leo ndo nimejua jinsi BRT inavyowatesa wakenya,kudos kwa mh jakaya kikwete,kajua kuwakamua mungiki