komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Naona ulikua kiwandani hyo 50yrs agoKama zile DMU za miaka 50 iliopita![]()


Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ulikua kiwandani hyo 50yrs agoKama zile DMU za miaka 50 iliopita![]()


Leo naona unatapatapa




Si mlisema hamtaki brt nyinyi!?Naona ushakubali Kenya inajengwa BRT![]()
Munaenda kununua DMUs za miaka 30 iliopita alaf munajiona mumepiga hatua🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 wanaumia sana wajenge BRT wapi wataishia kupaka rangi tuSi mlisema hamtaki brt nyinyi!?
Kumbe ile ilikuwa ni maumivu tu ya moyo!..poleni sana
Huwezi pindisha ripoti za engineer


Jamaa aliyekuwepo kiwandani kuiwakilisha tanzania wakati wa uzalishaji wa DMUs kule spainMunaenda kununua DMUs za miaka 30 iliopita alaf munajiona mumepiga hatua![]()


So unakataa au 🤣🤣🤣🤣 naskia mumenunua na spea kabisa manake hazina uhakika 🤣🤣🤣🤣🤣
Siku utapata three level kenya nzima mm nafunga acc jamii forum 🤣🤣🤣🤣🤣Huwezi pindisha ripoti za engineer
Zimekaa miaka kumi sasa na zitazidi kukaa..
Yani kaa ukijua tangia miaka kumi iliyopita pangani ipo..we ukitaka nenda mahakamani ukafungue kesi mahakamani
Sent using Jamii Forums mobile app
1.15b ksh 🤣🤣🤣 zimenunuliwa 11 DMUs so calculate tupate figuresi ajabu kusikia zimenunuliwa kwa bei ya brand new
Leo si unateseka sana, tena kumbe umeleta wale wale jamaa wako waliopigwa km nyieWazungu wa wapi hao jamani
Kwann uhuzunike

Kipimo kikuu cha mtu mwenye akili ni kuwa na pesa,huwezi kujiita una akili na huku pesa huna,unajiita una akili na huku umasikini inakuandama!?? 😀🤣😆 How!?Pesa ndio unayo lakini akili huna. Kweli Mungu hawezi kubariki mja kwa kila kitu.
Kila moja wamenunua kwa bei sawa na ksh million 104.5 🤣🤣🤣si ajabu kusikia zimenunuliwa kwa bei ya brand new
I can't pretend to be stupid like them. Kwanza that low-IQ guy called ichoboy01 really pisses me off. Anyway wacha nikuwachie hawa watu. Me I can't deal with them.
Uehhehehehe 🤣🤣🤣👇👇 leo dawa lazma urambe tuLeo si unateseka sana, tena kumbe umeleta wale wale jamaa wako waliopigwa km nyieView attachment 1645818
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 eti wanashangaa BRT kupata ajali hawa watu wako nyuma miaka 20 hvi chombo cha moto utashangaa kuungua mbona hawashangai mabasi yao yakiungua motoUsiwe na hasira jamaa...Brt isikuumize sana!
🤣🤣🤣🤣🤣 watabakia na kale kamsemo sisi tunajenga BRT leo miaka mitatu alaf jubilee ilivokuja kuwavunja nguvu wameletewa used DMUs ili iwafariji 😅😅Leo ndo nimejua jinsi BRT inavyowatesa wakenya,kudos kwa mh jakaya kikwete,kajua kuwakamua mungiki