Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Viongozi wa Tanzania wanakuja hapa Kenya kukodisha Helicopters
Viongozi wetu hapa Kenya wanasafirishwa Kwa Ndege Kubwa Kubwa za kisasa.

Nyie maskini wanyonge wa Tanzania hamuwezi kuafford Ndege za haina hii.

Ndege zipi hayo yanayoanguka kila siku auu, hata jana limeanguka pia
 
Mambo ya Redstone nn jembe mekus,Malindipub,Nssf underground pale mambo ya moshi ni super sana ....kule unapiga nyama bia ndizi kwa sana ukiweza unajaribu na mbege hivi
Mbege muhimu sana Chief, Kuna jamaa yangu alinipandisha kwao Uru Kule Juu tukapiga mbege na Kitimoto nyingi saana, Jioni tukashuka town sasa tukaunga bata, Nakumbuka kesho yake niliamshwa saa 6 mchana, bahati tulikuwa na flight ya Jioni.
 
Nyie mbona hamna huduma ya ndege inayofika Nairobi? Anza kuringa ile siku ndege zenu zitaanza kukatiza anga kuja Kenya. Lakini kwa sasa sisi hatutabishana na vitoto ambavyo ndio kwanza vinajifunza kukatiza anga nje ya nchi yao. Hata South Africa bado hamfiki wakati sisi tunafika USA?
Precision Air is operating that Route, for ATCL that wasn't a strategic route, we started with Harare, Lusaka Entebe etc , we will claim the flights to Nairobi as soon as we receive the order of other two brand new Airbus C300, our fare will be significantly lower compared to the overpriced KQs
 
Viongozi wa Tanzania wanakuja hapa Kenya kukodisha Helicopters
Viongozi wetu hapa Kenya wanasafirishwa Kwa Ndege Kubwa Kubwa za kisasa.

Nyie maskini wanyonge wa Tanzania hamuwezi kuafford Ndege za haina hii.


Labda ww huna akili nitajie kiongozi wa serekai aliekodi ndege ya kenya 🤣🤣🤣👇👇👇
F8DA4B29-A570-4072-8D8E-48BA7A506C93.jpeg
 
Hivi wewe unavyoonesha hizi accidents huwa sielewi hasa points yako, ina maana ndio kwa mara ya kwanza duniani kunatokea accident Tanzania? Ina maana Kenya hakuna mechanics repairs and replacement? Hakuna auto parts business? Hakuna accidents kabisa?

Em Punguza utoto angalau uwe unajadili kama mtu mzima kidogo.
Anaumia sana huyo jamaa na BRT yani anaskia leo tunaanza phase 3 wao bado wanaimba na DMUs za miaka 50 iliopita🤣🤣🤣🤣🤣
 
Viongozi wa Tanzania wanakuja hapa Kenya kukodisha Helicopters
Viongozi wetu hapa Kenya wanasafirishwa Kwa Ndege Kubwa Kubwa za kisasa.

Nyie maskini wanyonge wa Tanzania hamuwezi kuafford Ndege za haina hii.


We kweli kichwani hamnazo😔😔😔😔😔upelekwe Mathare mental hospital ukapimwe ushuzi wako
 
Back
Top Bottom