Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha analazimisha hali iliopo Kenya iwe Tanzania, hajui geographia ya Tanzania na yao ni tofauti sana.
Ni kweli bro arguments zingine ni Bora ukapotezea😃😃😃😃maaana majirani zetu wanapenda sifa Sana na vitu vyote vipo kwao tu 😂😂😂
 
Soma vizuri hiyo article,wamekuambia mgombea mwenza kupitia chama cha mapinduzi,na si makamu wa raisi,kiprotokali hapo hakuwa makamu(kiongozi wa serikali as you claimed),hapo alikuwa ni kiongozi wa chama cha mapinduzi..
🤣🤣🤣🤣🤣 huyo achana nae ndio kilaza wa sayari hii aliebakia
 
Mombasa now is construction hub,, Bridges after. Bridges,,now here we go Makupa bridge

View attachment 1646106

Ona hiii 🤣🤣🤣👇👇👇👇 iko wami tanga construction iko over 55%
12C23D0D-D209-4A27-B8A6-AC0C8D06C3A8.jpeg
CCE8E86D-A98C-43C2-B886-9F6FD6C058F7.jpeg
979D9765-FBFF-4AAB-8825-8A63AEE4E66E.jpeg
5D2BD243-FB44-4E8E-B381-1065F9589587.jpeg
2741BC54-4B77-416B-949D-879D1A60E31E.jpeg
A1B1B1A2-797F-43EF-9095-4066EB4971D9.jpeg
 
Back
Top Bottom