Wale wafugaji kule Turkana ambao hata chakula hawana wanategemea misaada, zaidi ya lugha yao ya kabila, hawajui lugha yoyote, wataweza kukata ticket on line?
Basi za Nairobi Taita Taveta, au kwenda Kajiado na Namanga, au kwenda Sirari au Machakosi watakata online?.
Ok, wakishakata online ticket, watalazimika kuzunguka na kutafuta ofisi ili waweze kupanda bus ili waanze safari?. Vipi kuhusu wageni wanaotembelea Kenya ambao hawajui lolote kuhusu buses na wanakokwenda, wapi wataweza kuuliza na kujua buses zinazokwenda huko unakokwenda?, ninyi ni failed state kabisa, nchi yenu haipo "organized kabisaa".
Sent from my TECNO-L8 using
JamiiForums mobile app