Au kenya hua munajiringanisha na south korea 🤣🤣🤣👇👇👇Leo si unateseka sana, tena kumbe umeleta wale wale jamaa wako waliopigwa km nyieView attachment 1645818
Sent using Jamii Forums mobile app
Ichoboy mimi huaga nampandisha alafu naachana nae kw mda flani kidogo, jamaa huaga ywapenda ujinga..kwanza ukimfuatizia ndio basi, conversation yani itajaa ujinga mtupu na emojis bila facts..I can't pretend to be stupid like them. Kwanza that low-IQ guy called ichoboy01 really pisses me off. Anyway wacha nikuwachie hawa watu. Me I can't deal with them.
Mbna unateseka sana jomba, si ualle tu jamaniAu kenya hua munajiringanisha na south korea



🤣🤣🤣🤣🤣 ichoboy anawaumiza kichwaIchoboy mimi huaga nampandisha alafu naachana nae kw mda flani kidogo, jamaa huaga ywapenda ujinga..kwanza ukimfuatizia ndio basi, conversation yani itajaa ujinga mtupu na emojis bila facts..
Ila wewe kidogo naona hupendi hayo mambo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na zile bus zenu zinazoungua zinakuaje ??? Hebu tuelezeeMbna unateseka sana jomba, si ualle tu jamani
Utakuja kufa kw presha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii phase 3 naisubiri kwa hamu sana,ila wafanye kweli maana nyerere road ndo mlango wa nchi,yaani mtu akitua pale t3 akitoka nje anakutana vitu classic hadi city centreBrt phase 3 hyo...
Na najua wamesema watatupa.loan ya phase 4 pia..so zinabaki phase 5&6 kujua financersView attachment 1645708
"do you know a part being beaten by your girl"❌And you what do you know a part being beaten by your girl![]()
Tupe mifano tano ya lounge za mabasi yenuOfisi zao na wakati kuna mpka lounge mnatulia
Unafikiria unaweza linganisha na pale ubungo watu wananyeshewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe unavyoonesha hizi accidents huwa sielewi hasa points yako, ina maana ndio kwa mara ya kwanza duniani kunatokea accident Tanzania? Ina maana Kenya hakuna mechanics repairs and replacement? Hakuna auto parts business? Hakuna accidents kabisa?
Hahahaha, but you are still staying in slums, aren't you?A class six dropout can't be my tutor![]()
Nilikuwa nazungumzia kuhusu Ichoboy au mimi? Nilikuwa naongea kuhusu Ichoboy sasa wewe umegeuza mazungumzo unaanza kuongea kunihusu? Uwezo wako wa kufikiria uko chini sana.Kipimo kikuu cha mtu mwenye akili ni kuwa na pesa,huwezi kujiita una akili na huku pesa huna,unajiita una akili na huku umasikini inakuandama!?? 😀🤣😆 How!?
Punguza wivu kijana.Akuna cha mana hapo...au huo mkichwa ndio unaona utabadilish poor SGR from chinese? Just look at that viaduct(bridge) its like unfinished work the same as yours....izo behewa ni km za kunya tuu...in short nothing special at all, ng'ombe mwenye pimbi wwView attachment 1645762
Wale wafugaji kule Turkana ambao hata chakula hawana wanategemea misaada, zaidi ya lugha yao ya kabila, hawajui lugha yoyote, wataweza kukata ticket on line?Yani unaanzaje kutafuta kampuni zote za mabasi na wakati hata online unakata tikiti yako na mida ikifika unatumia usafiri wowote ule kufika kituoni..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi watajenga special BRT terminal itayoingia terminal 2 na 3 alfu zitakuwa na mabus ya Express yanakutoa Airport hadi City Centre direct bila ya foleniHii phase 3 naisubiri kwa hamu sana,ila wafanye kweli maana nyerere road ndo mlango wa nchi,yaani mtu akitua pale t3 akitoka nje anakutana vitu classic hadi city centre
Hahaha, inaeezekana hata masoko hakuna, kila mtu anauza bidhaa zake barabarani vile apendavyo, " Country without law and order", Kenya is a jungle.Ofisi zao na wakati kuna mpka lounge mnatulia
Unafikiria unaweza linganisha na pale ubungo watu wananyeshewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba ulikuwepo wkt linagonga


