Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Cheki akili za hawa jamaa Bora ujiepushe nao utaumwa na kichwa bro🙂Vitu kama hivyo ukiwa katika failed state huwezi kuvielewa kamwe..
Cheki akili za hawa jamaa Bora ujiepushe nao utaumwa na kichwa bro🙂Vitu kama hivyo ukiwa katika failed state huwezi kuvielewa kamwe..
Huku bongo hata kikwete ana security na si kiongozi wa serikali,akili kichwani mwako..Hapo alikua hata security pia hana[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo pia walikodi ndege kutoka hko failed state
Hakika jamaa ni vilaza kwelikweli,wana vichwa ngumu kichizi yan ndo maana wanasiasa wao wanawaibia mwanzo mwishoCheki akili za hawa jamaa Bora ujiepushe nao utaumwa na kichwa bro🙂
Haha kwa renders inakaa poa Sana but in reality hakuna bridge ya maana inajengwa hapo,tena 2 lanes,hii bado sanaOna hiii 🤣🤣🤣👇👇👇👇 iko wami tanga construction iko over 55%
View attachment 1646137View attachment 1646138View attachment 1646139View attachment 1646140View attachment 1646141View attachment 1646142
Kwhyo ywalipwa mshahara km rais bado, kwa sababu mother hapo bado ilikua kibarua chake hakijaota nyasiHuku bongo hata kikwete ana security na si kiongozi wa serikali,akili kichwani mwako..
Huyo ni mbungu wa kambi rasmi bungeni sasa leo hii hamumkubali zitto🤣🤣🤣Kwhyo nikikuletea tweet yyte ya zitto utaikubali[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 so haitaki au kwani uliskia vifaa vya jeshi ni sehemu ya maonyesho ???Propaganda ya CCM . Eti mlinunua helicopter 13 airbus? Ziko wapi? Kwani zimefichwa porini uko mtwara? 😂😂
We punga nini, akili na hela wapi na wapi..Unapata wapi ujasiri wa kujiita una akili na huku ufukara inakuandama??!?..watu wenye pesa wooote wana akili,kama huna akili huwezi kuwa na pesa dogo,jielimishe hiyo ni fact
🤣🤣🤣🤣 bado sana nyinyi munajenga nn hapo mbona hamuleti ile floating pedestrian bridge ya likoni 🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana ila jubileeeHaha kwa renders inakaa poa Sana but in reality hakuna bridge ya maana inajengwa hapo,tena 2 lanes,hii bado sana
513 meters long mzeee🤣🤣🤣🤣 yenu ina metrs ngapi 60 au ????Haha kwa renders inakaa poa Sana but in reality hakuna bridge ya maana inajengwa hapo,tena 2 lanes,hii bado sana
Leo ndio mnajua km mnakubali, mbna basi ilkua hamumpendi[emoji23][emoji23]Huyo ni mbungu wa kambi rasmi bungeni sasa leo hii hamumkubali zitto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tender zilitamgazwa 2017 kumbe🤣🤣 alaf kumbe ni 200meters sasa unataka kushindana na👇👇👇Haha kwa renders inakaa poa Sana but in reality hakuna bridge ya maana inajengwa hapo,tena 2 lanes,hii bado sana
Uhehehehe so tuseme amedanganya au sio hazikununulia 13 ni sawa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo ndio mnajua km mnakubali, mbna basi ilkua hamumpendi[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo mbona unakuwa mgumu kuelewa,alipoapishwa umakamu alipewa mkataba,ndo mshahara analipwa kulingana na mkataba,akiwa anafanya majukumu ya vice president havai jezi za ccm,lakini akivaa jezi za ccm,akiwa katika shughuli za chama,masuala ya usafiri,marazi,hufanywa na chama,si serikali,hizo helicopter zilikodiwa na chama,si serikaliKwhyo ywalipwa mshahara km rais bado, kwa sababu mother hapo bado ilikua kibarua chake hakijaota nyasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii nyingine inaitwa pangani bridge tanga🤣🤣👇👇👇 525 meters ujenzi uko over 25%Haha kwa renders inakaa poa Sana but in reality hakuna bridge ya maana inajengwa hapo,tena 2 lanes,hii bado sana
Ohooo kama we huna hela basi akili huna?!..kubali tu hilo,unakuwaje una akili na hela huna?!!..ushawahi kuona wapi chizi/kichaa akawa na pesaWe punga nini, akili na hela wapi na wapi..
We yaonyesha hazijakaa sawa bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ninyi huwa mnajisifia kuwa na malls kubwa wakati sisi sio mfumo wetu, sisi mfumo wetu ni masoko sio malls[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema tu hamna ndege za helicopters zaidi ya nne[emoji23][emoji23][emoji23]Nizitoe wapi hvi ww unafkiri vifaa vya jeshi vinaonekama ovyo ovyo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeona mumejengewa na jubilee ile floating bridge ya pale likoni nimecheka mpaka basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]