Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

maengineers wasomi wa kenya wamekaa kbsa maofisin kwao na kuamua hii ‘sidewalk’ ikae katikati ya barabara! na wasomi wenzao ambao wapo humu wanaiita hii middlewalk sidewalk

na wamefikiria kbsa (assumption ya accidents prevention) ikitokea gari ikipata shida kwenye mwendo, dereva atafikiria kuelekeza gari kushoto kwenye majengo na sio kulia kwenye watu (middlewalk) na uwazi
IMG_1607288276.148263.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣heeeeeeee,,sjawahi ona mkenya yeyote ama kusikia angetamani kuwa wa huko Tz,,btw tangu nikiwa mdogo nmeishi kujua Tz wajinga and poor,,and that's the Fact until now,mko chini yetu kwa kila kiti
Ni kweli mmetuzidi kwa ufisadi,ukabila,ubinafasi,uchafu,pollution,njaa na mengine kibao😏
 
maengineers wasomi wa kenya wamekaa kbsa maofisin kwao na kuamua hii ‘sidewalk’ ikae katikati ya barabara! na wasomi wenzao ambao wapo humu wanaiita hii middlewalk sidewalk

na wamefikiria kbsa (assumption ya accidents prevention) ikitokea gari ikipata shida kwenye mwendo, dereva atafikiria kuelekeza gari kushoto kwenye majengo na sio kulia kwenye watu (middlewalk) na uwazi
View attachment 1643517
Speed mostly in the CBD how as low as 30kph,so no accident can happen here especially kukanyanga watu
 
Jamaa hivi mnafahamu Dodoma kuna sehemu wanaruhusu ujenzi wa nyumba za ghorofa tu hauruhusiwi kujenga nyumba za kawaida.

Moja ya masharti ya kuuziwa kiwanja pale ni ujenge nyumba ya ghorofa.

Na nasikia viberiti vimeinuka kweli kweli.

Niko Dodoma safari ya kikazi ngoja nijaribu kufuatilia hiyo sehemu nione kama nitafanikiwa kupiga na picha.

Mipango miji Dodoma mmetisha kweli kweli.
Fanya hivyo mkuu tuyatetemeshe haya ma lazy.
 
maengineers wasomi wa kenya wamekaa kbsa maofisin kwao na kuamua hii ‘sidewalk’ ikae katikati ya barabara! na wasomi wenzao ambao wapo humu wanaiita hii middlewalk sidewalk

na wamefikiria kbsa (assumption ya accidents prevention) ikitokea gari ikipata shida kwenye mwendo, dereva atafikiria kuelekeza gari kushoto kwenye majengo na sio kulia kwenye watu (middlewalk) na uwazi
View attachment 1643517
Na huwa wanaipost kila baada ya dk 5, wkt cc tuna ma sidewalks ya kumwaga mpk wakakimbia, ila wakuu hili boko ckuwa naliona mpk Geza Ulole aliposema
 
Back
Top Bottom