Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This explains your crude level of English proficiency! Go get a life! ( not literally) in case you’re a damn corpse!
I already have a life and a man only live one life, or do you have 3 lives?
 
You are way too deep in Your crappy ass life to the extent that you’ve forgotten that you’re living in hell...the hell of your own making that is!
Can you describe hell? Give me a pictorial description of hell. (20mks)
 
Jamaa hivi mnafahamu Dodoma kuna sehemu wanaruhusu ujenzi wa nyumba za ghorofa tu hauruhusiwi kujenga nyumba za kawaida.

Moja ya masharti ya kuuziwa kiwanja pale ni ujenge nyumba ya ghorofa.

Na nasikia viberiti vimeinuka kweli kweli.

Niko Dodoma safari ya kikazi ngoja nijaribu kufuatilia hiyo sehemu nione kama nitafanikiwa kupiga na picha.

Mipango miji Dodoma mmetisha kweli kweli.
 
Kisumu ingekuwa Tanzania ingekua bado manicipal kama moshi tu. mwaka jana nilienda yani kisumu kuna vighorofa kadhaa lakini ukitembea tu ki
Dogo uko porini kiufupi kamji kadogo sana kama unaamua kuzunguka kwa miguu masaa mawili umekamaliza lakini kenya wanaona bonge la jiji..
 
You need to be specific when you’re talking about budgets! How our government is able to pull what???? What kind of financing are you insinuating?
You understand your govt with propaganda., I know u have figured out what I mean, you don't sound like a novice or a pedestrian, are u just trying to act clever by being evasive and merely seeking to sound fancy in your writing?.,
 
I don't believe in fantasy world like you. So hell is a non existence to me.
😂😂😂😂 when did real life become a fantasy? I’m not talking about a place with a scorching fire! I’m talking about the hell that is your life! The kind of life you’ve dedicated towards hating Tanzania at all cost! Get a life! That can mean a lot of things. Either it’s finding a pet or going to dates, you’ll figure it out in your own.
 
Kisumu ingekuwa Tanzania ingekua bado manicipal kama moshi tu. mwaka jana nilienda yani kisumu kuna vighorofa kadhaa lakini ukitembea tu ki
Dogo uko porini kiufupi kamji kadogo sana kama unaamua kuzunguka kwa miguu masaa mawili umekamaliza lakini kenya wanaona bonge la jiji..
Wewe kila mahali Kenya ulifika last year? Sijakuwa surprised kukuskia ukisema umefika hadi Mandera
 
You understand your govt with propaganda., I know u have figured out what I mean, you don't sound like a novice or a pedestrian, are u just trying to act clever by being evasive and merely seeking to sound fancy in your writing?.,
I’m one of the most confident people I know! If I understood what you wrote, I would have responded to your query right away! Don’t make false assumptions about me. Be clear on what you really want to know!
 
when did real life become a fantasy? I’m not talking about a place with a scorching fire! I’m talking about the hell that is your life! The kind of life you’ve dedicated towards hating Tanzania at all cost! Get a life! That can mean a lot of things. Either it’s finding a pet or going to dates, you’ll figure it out in your own.
I don't hate Tanzania, I only lay things bare and calling spade as a spade and not big spoon. That's not hate young man.
 
Jamaa hivi mnafahamu Dodoma kuna sehemu wanaruhusu ujenzi wa nyumba za ghorofa tu hauruhusiwi kujenga nyumba za kawaida.

Moja ya masharti ya kuuziwa kiwanja pale ni ujenge nyumba ya ghorofa.

Na nasikia viberiti vimeinuka kweli kweli.

Niko Dodoma safari ya kikazi ngoja nijaribu kufuatilia hiyo sehemu nione kama nitafanikiwa kupiga na picha.

Mipango miji Dodoma mmetisha kweli kweli.
Now your government should concentrate its efforts on Dodoma, same way Nigeria built Abuja, not your Lagos(Dar), that city will never be liberated from low life residentials filling the whole sq km by over 80%.,
 
Back
Top Bottom