The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Wengine wamevaa barakoa km ushahidi tuu [emoji3][emoji3]
Wengine wamevaa barakoa km ushahidi tuu [emoji3][emoji3]
Na at least 80% ya citizens wawe na elimu kuanzia bachelor degreeNchi zetu maskini hazihitaji demokrasia mpk njaa iishe.
Kitu kingine ni kwamba kipindi cha nyuma upinzani ulipendwa sana kwa sababu walionekana ndio wazalendo na ccm ilionekana kuuza nchi kwa wazungu kwa sababu kila mtanzania alifundishwa historia kuanzia primary so wana uelewa kwenye hilo. Ila this time imekuwa vice versa, kama upinzani wasingejipendekeza kwa mabeberu yasingetokea haya yote na ndio maana ccm ilikua inawakumbusha sana watanzania kuhusu ushirika baina ya lisu na wazunguUpinzani ulikua ni lazma upigwe chini kwasababu ya mambo makubwa yaliofanyika msifanye wananchi wajinga kwamba hawana macho, watu wanabadilika na mambo yanabadilika
Kitu cha motroo picha ya leo hii, wallahi huu msumari utawachukua jirani miaka mingi kuulipa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Njombe moja hiyooTutazidiwa na nchi zilizoendelea lkn co failed state, hakuna kitu tunazidiwa na failed state ila cc ndio tunawazd wao ktk angles nyingi sana atokee mkunya anipe view km hii from kunyaland[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1617773View attachment 1617774
Wanajua Tanzania pekee ndio sehemu salama kwao, wakitoka hapo next stop ni Serengeti 😁😁😁Wanakimbia baridi ya winter hao 😂😂😂 Winter in Russia is something else 🥶
Dah picha ya zamani sana enzi za mark IIThe giant itself, kkoo market a.k.a the biggest Market in East and Central of Africa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1617304
[emoji382][emoji382][emoji382]View attachment 1617755View attachment 1617756View attachment 1617757View attachment 1617758
Tutazidiwa na nchi zilizoendelea lkn co failed state, hakuna kitu tunazidiwa na failed state ila cc ndio tunawazd wao ktk angles nyingi sana atokee mkunya anipe view km hii from kunyaland[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1617773View attachment 1617774
Kuna kitu kimoja naomba kuwauliza wadau wa jf mbona wakenya wanakomaa sana na jiwe kuwa ni dikiteta kwani ni rais wao kenya au ni rais wa tanzania kama ndo hivo jua kuwa kuna mahala walikua wanapata kitonga mwisho wa siku kitonga imegeuka kua tambarale ndo maana wanalia na jiwe
Sawaumeuliza swali na umejijibu jibu sahihi hapohapo
wanevumilia wameshindwa imebidi tuu wajionyeshe waziwaziKuna kitu kimoja naomba kuwauliza wadau wa jf mbona wakenya wanakomaa sana na jiwe kuwa ni dikiteta kwani ni rais wao kenya au ni rais wa tanzania kama ndo hivo jua kuwa kuna mahala walikua wanapata kitonga mwisho wa siku kitonga imegeuka kua tambarale ndo maana wanalia na jiwe
SlHadi wanamwabudu jpm sababu ya hiyo interchange..... Imagine Uhuru amefanya project mob huku tena kubwa lakini hukuna mtu anayemsifia,yani hiyo inakuambia Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kenya na Tz....yani Wakenya wamezoea maendeleo na tena kujengewa barabara,flyover,airport ni haki ya mwananchi wala sio bidii ya mtu fulani
Ulishaona comments za Geza akiwa amepingana naye mawazo?Unaona hili wazo? Tayari umefanya iwe ni TEAM A VS B. Hapa ndipo mnakosa! You all can't agree to disagree!
Geza ukimskia akitoa maoni si kusema ni adui wa Tz bali ana uchungu na nchi yake inakoelekea...kulingana na msimamo wake
Sasa badala ya kumweleza inabaki ni matusi jinsi alivyo na akili za "kitoto"