Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi kwaakili za kitoto tu, ni Taifa gani linaweza kumuacha raisi kama Magufuli?
Na je, kazi za wabunge wapinzani majimboni kwao zilikuwa ni zipi???
Hivi je, unawezaje kuwa mbunge miaka 20 usiisemee maendeleo ya jimbo lako??
Kwani hawakuwa na cha kujifunza kwa Makonda??
Unamuachaje Askf Gwajima na zile logical points kwa mfano??
 
Hiyo stendi ya mbezi leo nilipita happy na demu mmoja mkenya akaniuliza wanajenga nini hapo nikamwambia hyo stendi ya mabus akagoma eti kisa Kenya hamna stendi Kama hiyo, nilipenda lakn inaonekana anaipenda nchi yake na hataki ishindwe
 
Sema speed ya wachina kwasababu hio ni project ya mchina na mtalipa pesa kama fee kwa wachina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnaposema kasi ya ujenzi wa reli ya umeme huaga mnamaanisha nn katika zile video zenu..
Au vile kenya ndio unatuonea donge
 
Mnaposema kasi ya ujenzi wa reli ya umeme huaga mnamaanisha nn katika zile video zenu..
Au vile kenya ndio unatuonea donge
Kwan hujui inajengwa kwa fedha za magufuli au unafkiri ile ni ppp project😂😂😂
Mchina anajenga anaweka toll pale munaanza lipia 600ksh per car kwa muda wa miaka 27
 
Hahaha!!mbna unstupostia km we unaubavu kweli[emoji23][emoji23]
Acha tukupe vitu kw ground ndio ujionee sio kuturingishia na picha za kuokota google[emoji23][emoji23]
Komora vp hyo avatar ndiyo ww mwenyewe? Naomba niku pm tuyajenge mamaa.
 
😂😂😂😂😂😂 endelea kujigamba mabeberu yalifanya USSR ikazama angalia Venezuela, Iran etc
China walirudi mezani kudiscuss trade deal na USA upya Tanzania ni nn kwao 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣😀😀😁 Endelea tu kuiogopa beberu,sie huku simple tu tunaiminya kiaina..ukitaka kuona sisi hapana ogopa beberu,kesho nimesikia kuna watu wanataka kuandamana,andamaneni muone tunawavunja miguu halafu tuone kama hiyo beberu yako itakusaidia..uchaguzi ushapita sasa maisha yaendelee,sio kila siku siasa tuuuuu
 
Kasema mwenyewe haongezi muda madarakani sasa nashangaa watu wanawasiwasi
01054F64-3CA9-4660-A7CA-5596CCE8E3C0.jpeg
 
Kwan hujui inajengwa kwa fedha za magufuli au unafkiri ile ni ppp project[emoji23][emoji23][emoji23]
Mchina anajenga anaweka toll pale munaanza lipia 600ksh per car kwa muda wa miaka 27
Bwahaha!!itabidi nao standard chatered waje wadai kipande chao[emoji23][emoji23][emoji23]
Manake kuna mpunga wao pia
 
Ndio namshangaa huyo Geza. Ndio maana nataka nikutane naye nione ni mtu wa namna gani.
Fuatilia comments zake kwanza.
Yeye anamkubali Raisi wenu na yote anayoyafanya
Ila hajakubaliana na mwenendo wa uchaguzi ulivyoenda... kukutwa kwa kura za mapema zikiwa tayari CCM wame tick sehemu zao, kuwazuia mawakala wa upinzani kwenye polling station, kutumia nguvu kwa wananchi na kukamata wapinzani, kule Zanzibar ndo speechless kabisa

Kama CCM ilijua itashinda kwa kishindo kwanini walifanya madudu namna hiyo!!?
 
Ila hajakubaliana na mwenendo wa uchaguzi ulivyoenda... kukutwa kwa kura za mapema zikiwa tayari CCM wame tick sehemu zao, kuwazuia mawakala wa upinzani kwenye polling station, kutumia nguvu kwa wananchi na kukamata wapinzani, kule Zanzibar ndo speechless kabisa

Kama CCM ilijua itashinda kwa kishindo kwanini walifanya madudu namna hiyo!!?
Huo ni upande mmoja wa shilingi, vipi kwa upande mwingine mtu akisema hizo zote zilikuwa ni njama za upinzani kutafuta mlango wa kutokea, kwakuwa walijua hawatashinda uchaguzi.
 
Kasema mwenyewe haongezi muda madarakani sasa nashangaa watu wanawasiwasiView attachment 1617466
Yaani wakenya hawaamini kama Tanzania ndio tayari umerudi into default na maisha yanaendelea kama kawa, Kenya baada ya uchaguzi wowote ni machafuko kwa miezi ya kutosha yanaendelea mpaka angalau wachinjane 300 ndio maisha yaendelee

Sisi Tanzania ni siku 3 tu uchaguzi umeisha kila kitu kipo normally kabisa, tujipongeze kwa kweli na tumshukuru Mungu kwa kufanya tumekua Taifa la kipekee Africa sababu hata ulaya kipindi cha uchaguzi huwa kuna machafuko.
 
Back
Top Bottom