Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtapigwa sanctions kama Sudan ndio mfyate midomo zenu kubwa. Mtashindwa hata kuomba loan ya miradi yenu. Wakati bei ya mkate na unga utaanza kupanda kama ulivyofanyika Sudan ndio mtajua athari ya sanctions. Kwa sasa mjipige kifua tu. Ulizeni Zimbabwe sanctions zina athari gani.
Kalale maana unaota!!!Hakuna kitu ka hiyo.....kaka, wakati mwingine ni bora kunyamaza tu kuliko kuonyesha upumbavu wako wa ndani ambao wengine hatukuutegemea!!! Ogopa sana mtandao maana hata kizazi chako kitakuja kukuona mpumbavu uliye na chuki pasipo na sababu,unazungumza vitu kama mlevi tu asiye na staha.Think positive ni nzuri pia kwa afya yako.
 
Tanzania hatuwezi kupigwa sanction tumuombe mungu uyu mzee MAGUFULI awe na nia njema alete tu maendeleo na uchumi kwasababu yeye ameshika mpini anaweza fanya chochote na hatuna cha kufanya kutokana na katiba yetu..

 
Kalale maana unaota!!!Hakuna kitu ka hiyo.....kaka, wakati mwingine ni bora kunyamaza tu kuliko kuonyesha upumbavu wako wa ndani ambao wengine hatukuutegemea!!! Ogopa sana mtandao maana hata kizazi chako kitakuja kukuona mpumbavu uliye na chuki pasipo na sababu,unazungumza vitu kama mlevi tu asiye na staha.Think positive ni nzuri pia kwa afya yako.
Ukiona mtu ameanza matusi basi jua ameshindwa kudebate. Ameshindwa kutoa hoja. Huna hoja ndio maana unaanza matusi.
 
Siasa ziishe ss tuendelee na lengo la uzi, alafu ndg zng WaTz tusiwape pumzi Wakenya mana naona tumewapumzisha vya kutosha, haya atokee mkenya alete kijiji cha michezo km hiki [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-10-31-11-20-12.jpeg
 
Wooiiii ati wanataka battle na Tz, a market from somewhere in Kenya [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-04-18-19-52-39.jpeg
 
The giant itself, kkoo market a.k.a the biggest Market in East and Central of Africa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-11-01-18-57-04.jpeg
 
Hii ni mara yako ya ngapi kupiga kura??
ichoboy01
Inawezekana kutokakana unavoongea ikawa kma mara ya pili au ya tatu...

Uchaguzi wa mwaka huu sio hata wa kubishana kuhusu haki au sio wa haki ni inshu ya kunyamaza tu.. ila kama tukiongelea uhalali ni AIBU!!!

Chamsingi sio vitu vya kuongelea kwenye uzi huu.
Tatizo kubwa kwetu sisi hua tunaamini kua upinzani ukishindwa basi umeonewa sasa inanaana upinzani hautakiwi kushindwa au?? Kwann tunajiekea fikra hzo na ilikua lazma upinzani ushindwe mwaka huu kwasbabu ya mambo makubwa yaliofanyiwa na magufuli

au nyinyi hamujui kama upinzani hupata nguvu endapo serekali iki fail kutekeleza majukumu yake???
 
Well, ndo maana nikakwambia ni relative, jinsi unavyooangalia, hata USA pia hizo Institutions siyo independent kihivyo kama mnavyofikiria kwani inategemea na Chama gani kina power wakati huo, kwa mfano supreme court ya USA maamuzi yake yanategemea na Majaji ya Chama gani kina majority, mfano sasa hivi Supreme court ina jumla ya majaji 9, 6 ni wa republicans na 3 ni democrats hivyo Uraisi wa USA unaokuja kama Supreme Court ndiyo itaamua basi 100% Raisi ni D.Trump tena, kwani Majaji 6 ni rep. party wakipiga kura watashinda, huo ni mfano wa mambo mengi sana kuhusu US system, kwa kifupi USA siyo democratic kama mnavyodhania, Raisi wa USA anachaguliwa na watu kama 538 tu na siyo Mamilioni ya wamarekani wote wanaokwenda kupiga kura, kama unauelewa vizuri mfumo wa USA.
Isitoshe hata Raisi Magufuli hawezi kufanya chochote anachotaka kama mnavyofikiria ni lazima awe na support ya CCM, mfano Uchaguzi wa mwaka 2015 uliomuingiza Raisi Magufuli, Magufuli hakuwa chaguo la kwanza la Raisi Kikwete, kwa maana nyingine Raisi Kikwete alikuwa na mtu wake aliyemtaka lkn alishindwa kumlazisha kupita kwenye Kikao cha Chama, sasa kwa nini kama Raisi wa Tanzania wanaweza kufanya anavyotaka?
Well I know about USA electoral college
Remember the FBI investigated Trump friends and prosecuted them and some are in jail can security services in Tanzania do the same
 
Back
Top Bottom