Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania wanainterchange moja pekee halafu wanataka kubishana na Kenya wabwege sana
Hadi wanamwabudu jpm sababu ya hiyo interchange..... Imagine Uhuru amefanya project mob huku tena kubwa lakini hukuna mtu anayemsifia,yani hiyo inakuambia Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kenya na Tz....yani Wakenya wamezoea maendeleo na tena kujengewa barabara,flyover,airport ni haki ya mwananchi wala sio bidii ya mtu fulani
 
Geza Ulole sio Mkenya wewe ng'ombe. Kwa hivyo mtu yeyote akiwapinga kidogo basi mnambatiza Ukenya? Nyie endeleeni kusherehekea kilichotendeka lakini mwishowe mtaelewa umuhimu wa upinzani. Kumbe Barbarosa unakuanga mjinga hivyo?
Usishangae hata serikali ya JPM imekuwa ikivua watu Uraia pale inapokosolewa!
 
Nani kakudanganya?...Kilimani ni mtaa wa kidosi watakosa aje maji?

Wana matenki chini, lkn siyo maji ya city ni private, maji ya city hayatoki, nimrfika mara nyngi tu ninapajua vizuri sana hata nilikuwa na demu hiyo mitaa, ...
 
Mean time...the bus terminal which suppose to be an airportone of its kind in Africa
Screenshot_20201101-104215.jpg
Screenshot_20201101-104140.jpg
Screenshot_20201101-104101.jpg
 
Hili ndo linaenda kutendeka! mbona lipo wazi subiri uone CCM true colors! Baada ya Ndugai, Majaliwa na Kabudi na wale wengine 30+ kupita bila kupingwa kinachofuata na kulipa fadhila!
Ccm bungeni always wamekua na viti vingi kuliko chama chochote, ilikua na haja gani mpaka CCM washinde viti vyote ndio wafanikishe hilo jambo? Kwani isingewezekana kufnya hilo wakiwa wapinzani?
 
Ccm bungeni always wamekua na viti vingi kuliko chama chochote, ilikua na haja gani mpaka CCM washinde viti vyote ndio wafanikishe hilo jambo? Kwani isingewezekana kufnya hilo wakiwa wapinzani?
Jifunze katiba inasema nn kuhusu kubadili term limit kwanza!
 
Hadi wanamwabudu jpm sababu ya hiyo interchange..... Imagine Uhuru amefanya project mob huku tena kubwa lakini hukuna mtu anayemsifia,yani hiyo inakuambia Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kenya na Tz....yani Wakenya wamezoea maendeleo na tena kujengewa barabara,flyover,airport ni haki ya mwananchi wala sio bidii ya mtu fulani
Nashangaa sana jpm amejenga interchange moja na brt anaabudiwa Kama mungu uhuru Kenyatta amefanya mengi lkni bado anatukanwa kupindukia there is something wrong in Tanzania
 
sikuhiz kwanza policy za mabeberu hawadeal na taifa zima au wananchi wote.. wanadeal na individuals .. but hata hivyo hakuna watakachofanya
Mtapigwa sanctions kama Sudan ndio mfyate midomo zenu kubwa. Mtashindwa hata kuomba loan ya miradi yenu. Wakati bei ya mkate na unga utaanza kupanda kama ulivyofanyika Sudan ndio mtajua athari ya sanctions. Kwa sasa mjipige kifua tu. Ulizeni Zimbabwe sanctions zina athari gani.
 
Mtapigwa sanctions kama Sudan ndio mfyate midomo zenu kubwa. Mtashindwa hata kuomba loan ya miradi yenu. Wakati bei ya mkate na unga utaanza kupanda kama ulivyofanyika Sudan ndio mtajua athari ya sanctions. Kwa sasa mjipige tu kifua. Ulizeni Zimbabwe sanctions zina athari gani.

acha kuota, amka .. mchana huu ujue!
 
Uhuru hana option. Tanzania is one of our largest trading partners. Hata mkifanya upuzi upi bado atampongeza tu mshindi kwa sababu anajaribu kulinda maslahi ya Kenya. Nyie lazima muendelee kununua bidhaa zetu kwa hivyo lazima Uhuru afumbe macho ila wazungu hawana unafiki huo. Ngojeeni kiboko cha mabeberu. Itashuka hivi karibuni kwenye migongo zenu.
 
Mtapigwa sanctions kama Sudan ndio mfyate midomo zenu kubwa. Mtashindwa hata kuomba loan ya miradi yenu. Wakati bei ya mkate na unga utaanza kupanda kama ulivyofanyika Sudan ndio mtajua athari ya sanctions. Kwa sasa mjipige kifua tu. Ulizeni Zimbabwe sanctions zina athari gani.
Takataka zinazoabudu na kulamba miguu wazungu.
 
Mtapigwa sanctions kama Sudan ndio mfyate midomo zenu kubwa. Mtashindwa hata kuomba loan ya miradi yenu. Wakati bei ya mkate na unga utaanza kupanda kama ulivyofanyika Sudan ndio mtajua athari ya sanctions. Kwa sasa mjipige kifua tu. Ulizeni Zimbabwe sanctions zina athari gani.

Sasa unafananisha Sudani na Tanzania au Zimbabwe na Tanzania yetu? Sudani Muzungu alikuwa na ishu na Al Bashir aliyeongoza Sudani zaidi ya miaka 20, Sudani ina mafuta mengi ambapo amefukuza Muzungu companies kampa China, Sudani alikuwa haitambui Isreali, na mambo mengine mengi. Zimbabwe pia Muzungu alikuwa na ishu na Mugabe ambaye alifukuza white settlers, akanyang'anya diamond minings ambapo Zimbabwe wana moja kati ya deposits kubwa ya almasi Duniani kumpa China, Mugabe aliongoza Zimbabwe tangia 1980.

Sasa utawezaje kufananisha na Tanzania yetu? Muzungu ana shida gani na Tanzania yetu hadi aipige sanctions? Kama ni Magufuli wana shida naye anamaliza muda wake Kikatiba 2025 anaondoka hakuna haja ya sanctions, kama ni CCM well CCM siyo mtu hivyo watakuwa ni watu ajabu kuwa na ishu na CCM, isitoshe Tanzania yetu haina uhusiano mbaya na Mataifa mengine hata ya Muzungu na ndio maana unaona hata ni lazima chadema watafute kwanza Lawyer halafu eti huyo loya ndiyo aandike barua kwa muzungu kushitaki, wewe uliona wapi? Kwa nini watafute loya? Muzungu ana muwakilishi wake hapa Tanzania kuanzia UN, EU, USA, &Co. sasa kuna haja gani ya kutafuta loya na kumlipa mamilioni ya dola, kwani Muzungu haoni kinachoendelea?
 
Back
Top Bottom