The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Basi mkuu inatosha unajua Wakenya wanafurahia hii migongano ya kifikra baina yetu cz ndoto zao ni kuona tunafarakana km wao ila wamenoa cz WaTz hatunaga kinyongo, tuendeleze dozi wakuu.Tatizo kubwa kwetu sisi hua tunaamini kua upinzani ukishindwa basi umeonewa sasa inanaana upinzani hautakiwi kushindwa au?? Kwann tunajiekea fikra hzo na ilikua lazma upinzani ushindwe mwaka huu kwasbabu ya mambo makubwa yaliofanyiwa na magufuli
au nyinyi hamujui kama upinzani hupata nguvu endapo serekali iki fail kutekeleza majukumu yake???