Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Jibu swali kama huwezi kaa pembeniGoogle hyo ni rahisi kupata
Jibu swali kama huwezi kaa pembeniGoogle hyo ni rahisi kupata
Kupitisha sheria yoyote akidi ya idadi ya NDIYO ilitosha kufanya kubadili sheria hata kama ilikua mbovuCcm bungeni always wamekua na viti vingi kuliko chama chochote, ilikua na haja gani mpaka CCM washinde viti vyote ndio wafanikishe hilo jambo? Kwani isingewezekana kufnya hilo wakiwa wapinzani?
Acha kujifanya unajua na hujui lolote uliza utajibiwa na wenye nchi yao....Nashangaa sana jpm amejenga interchange moja na brt anaabudiwa Kama mungu uhuru Kenyatta amefanya mengi lkni bado anatukanwa kupindukia there is something wrong in Tanzania
Balozi wa USA (TZ ) yuko obsessed na Tanzania yetu huku USA yake ikiwaka moto,
Low IQ !
C relative Trump ni dictator pia lkni hawezi fanya kenye anataka USA Kwasababu ya strong independent institutions magufuli ni dictator anafanya Kenye anataka Tanzania hakuna cha kumuzuiaIndependent Institutions is relative, ...
Wapi nimeona watz na magufuli mwenywe akijisifu kuwa ni ameleta brt na interchange TanzaniaJpm hajajenga BRT kaikutia njiani, hata hyo interchange yeye kaikutia njiani, hata airport kaikutia njiani so inakupasa utuulize cc WaTz why tunampenda!!
Wacha kutapatapa ww weka interchanges za Tanzania mm nitaweka za kenya mbna uweke za kenya ww c mkenyaSiulisem iko moja...umechange gia angani...nyie ndio mnaita mpka flyover interchangeniweke hapa interchanges zote za kenya plz note sio flyovers....
I don't spoon feed idiotsJibu swali kama huwezi kaa pembeni
Mwenye nchi ni magufuli tulia awaongoze 😂😂😂Acha kujifanya unajua na hujui lolote uliza utajibiwa na wenye nchi yao....
C relative Trump ni dictator pia lkni hawezi fanya kenye anataka USA Kwasababu ya strong independent institutions magufuli ni dictator anafanya Kenye anataka Tanzania hakuna cha kumuzuia
Yuwesie imeendelea. Usijilinganishe nao.
Nilitaka niwaambie hv hv ila nikaona ni mkenya huyo so upumbavu kaumbiwa, mshikilie hvyo hvyo japo hatoleta.Siulisem iko moja...umechange gia angani...nyie ndio mnaita mpka flyover interchangeniweke hapa interchanges zote za kenya plz note sio flyovers....
Brt ilikuwepo kabla Jpm, hebu jibu swali alilokuuliza Justinr juu apo, muwekee interchanges zote za Nairobi.Wapi nimeona watz na magufuli mwenywe akijisifu kuwa ni ameleta brt na interchange Tanzania
Hizo zenu ni takataka,sio interchange..siku mkiwa nayo kama ya ubongo nahama bongo!Tanzania wanainterchange moja pekee halafu wanataka kubishana na Kenya wabwege sana
Hata Kikwete hakuwa chaguo la Mkapa lkn alipita, ss km Rais ana uwezo wa kila kitu mbn alishindwa kuzuia hilo?Well, ndo maana nikakwambia ni relative, jinsi unavyooangalia, hata USA pia hizo Institutions siyo independent kihivyo kama mnavyofikiria kwani inategemea na Chama gani kina power wakati huo, kwa mfano supreme court ya USA maamuzi yake yanategemea na Majaji ya Chama gani kina majority, mfano sasa hivi Supreme court ina jumla ya majaji 9, 6 ni wa republicans na 3 ni democrats hivyo Uraisi wa USA unaokuja kama Supreme Court ndiyo itaamua basi 100% Raisi ni D.Trump tena, kwani Majaji 6 ni rep. party wakipiga kura watashinda, huo ni mfano wa mambo mengi sana kuhusu US system, kwa kifupi USA siyo democratic kama mnavyodhania, Raisi wa USA anachaguliwa na watu kama 538 tu na siyo Mamilioni ya wamarekani wote wanaokwenda kupiga kura, kama unauelewa vizuri mfumo wa USA.
Isitoshe hata Raisi Magufuli hawezi kufanya chochote anachotaka kama mnavyofikiria ni lazima awe na support ya CCM, mfano Uchaguzi wa mwaka 2015 uliomuingiza Raisi Magufuli, Magufuli hakuwa chaguo la kwanza la Raisi Kikwete, kwa maana nyingine Raisi Kikwete alikuwa na mtu wake aliyemtaka lkn alishindwa kumlazisha kupita kwenye Kikao cha Chama, sasa kwa nini kama Raisi wa Tanzania wanaweza kufanya anavyotaka?
Sie mabeberu hatuyaogopi,tutayafinya tu..sisi sio kama nyie hunyenyekea beberu,tena ikibidi tuwe na chama kimoja tu,demokrasia ni ujinga tuUhuru hana option. Tanzania is one of our largest trading partners. Hata mkifanya upuzi upi bado atampongeza tu mshindi kwa sababu anajaribu kulinda maslahi ya Kenya. Nyie lazima muendelee kununua bidhaa zetu kwa hivyo lazima Uhuru afumbe macho ila wazungu hawana unafiki huo. Ngojeeni kiboko cha mabeberu. Itashuka hivi karibuni kwenye migongo zenu.
Nchi zetu maskini hazihitaji demokrasia mpk njaa iishe.Sie mabeberu hatuyaogopi,tutayafinya tu..sisi sio kama nyie hunyenyekea beberu,tena ikibidi tuwe na chama kimoja tu,demokrasia ni ujinga tu
Tanzania haiwezi kupigwa hiyo ban sababu wazungu wenye mashamba ya maua wataumia na wamekopa huko ulaya so hawawezi kufanya huo upuuzi, pia makampuni yao ya madini yatafilisika kwanza kabla wachimbaji wadogo wanaotegemea soko la Dubai na Qatar hawajaguswa na hiyo banendelea kujidanganya! Tanzania ikipigwa ban ya kuto-export US and EU, tumekwisha Zimbabwe inafanya biashara na China zaidi ya mwaka wa kumi na hawajaweza kujikwamua kwenye hali mbaya ya uchumi! Mchina alijeuka kuwa mnyonyaji baada ya kung'amua yeye pekee ndio soko la Zimbabwe. Hata hizi nchi za jirani tunazofanya nazo biashara zitajeka mabeberu!
Tony 254 wazungu ni washenzi sana..man..waon wanaangalia mfuko wao unakula wapi..unahusu they mean democracy ..they mean business man..marekani yenyewe unahisi ina demokrasia sana..mchezo wa kuigiza tu ule...Mtapigwa sanctions kama Sudan ndio mfyate midomo zenu kubwa. Mtashindwa hata kuomba loan ya miradi yenu. Wakati bei ya mkate na unga utaanza kupanda kama ulivyofanyika Sudan ndio mtajua athari ya sanctions. Kwa sasa mjipige kifua tu. Ulizeni Zimbabwe sanctions zina athari gani.
Ili uwe na demokrasia ya kweli pamoja na mengine yote.. Lazima uwe na watu "Wazalendo wa kweli" watakao simama kuitetea kweli misingi ya demokrasia hiyo.... Haijawahi kutokea duniani na haitokaa itokee kuwa na Wazalendo Masikini.Nchi zetu maskini hazihitaji demokrasia mpk njaa iishe.