Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ha kumbe na Mombasa ina sharks naona hapa bottom left baada ya daraja!
ElU8Ff4XYAASfjW
Ila ni sehemu ndogo tu, sio kama Dar 70% ni shacks.
 
Achana naye huyo jamaa ni Mkenya/Mjaluo hivyo hana mapenzi yoyote na Tanzania yetu, ukimuona hapa alikuwa anawanga Wakenya ni kwa sababu ya Raila, siyo kwamba hapendi Kenya kwao, bali ni kwa sababu ya Ujaluo wake hawapendi Wakikuyu, lkn ni Mkenya 100% umeona sasa makucha yake, next time kuweni waangalifu sana na watu wenye ndimi mbili, he is a two faced nigga, ...
Mshaanza kupiga ramli na kushikana uchawi sasa... hehe yule hasimu wake Joto wa hapa ndio mkenya...huyu Geza ni wa hapo kuvuka west....
 
Ha kumbe na Mombasa ina sharks naona hapa bottom left baada ya daraja!
ElU8Ff4XYAASfjW
Hiyo ni base ya wavuvi flani wa zile makeshift boats zenye haziwezi stahimili mawimbi, the area is calm., hawaendi dip sea., wanatua pale na kuuza, mateja pia wako, njoo nikupeleke unywe supu ya pweza😂
 
kama wewe unavyozeeka ukifuatilia post zangu! Nina uhakika ukiingia JF cha kwanza ni kutafuta Geza Ulole ka-post nn! naskia hii slum inaitwa Bangladesh!
Bangladesh iko on your way kabla ya Njomvu., pale ni kwa wenyewe! Warambwa mchana peupe😂😂😂
 
geza mm nakukatalia kwa asilimia 100 nimekua mhudhuriaji sana wakupiga kura ila awamu hii upigaji kura ulikua very open na hata uhesabu wa kura ulikua open eti wanazusha mawakala waliotolewa huo ni uongo mkubwa sana hakuna wakala alietolewa wa chama pinzani na sahihi zao zipo kila kituo hata kabla ya kufungu sanduku halifunguliwi mpaka mawakala wote wawepo na kukubali na wanasaini mm nimeshuhudia kwa macho yangu
Hii ni mara yako ya ngapi kupiga kura??
ichoboy01
Inawezekana kutokakana unavoongea ikawa kma mara ya pili au ya tatu...

Uchaguzi wa mwaka huu sio hata wa kubishana kuhusu haki au sio wa haki ni inshu ya kunyamaza tu.. ila kama tukiongelea uhalali ni AIBU!!!

Chamsingi sio vitu vya kuongelea kwenye uzi huu.
 
Hii ni mara yako ya ngapi kupiga kura??
ichoboy01
Inawezekana kutokakana unavoongea ikawa kma mara ya pili au ya tatu...

Uchaguzi wa mwaka huu sio hata wa kubishana kuhusu haki au sio wa haki ni inshu ya kunyamaza tu.. ila kama tukiongelea uhalali ni AIBU!!!

Chamsingi sio vitu vya kuongelea kwenye uzi huu.

 
Hii ni mara yako ya ngapi kupiga kura??
ichoboy01
Inawezekana kutokakana unavoongea ikawa kma mara ya pili au ya tatu...

Uchaguzi wa mwaka huu sio hata wa kubishana kuhusu haki au sio wa haki ni inshu ya kunyamaza tu.. ila kama tukiongelea uhalali ni AIBU!!!

Chamsingi sio vitu vya kuongelea kwenye uzi huu.
Humu ndani kuna watu wanafuata mkumbo hawajui haki ni nn! Mie nawaangalia tu! tupigwe kwanza sanctions halafu tutapata akili!
 
Hii ni mara yako ya ngapi kupiga kura??
ichoboy01
Inawezekana kutokakana unavoongea ikawa kma mara ya pili au ya tatu...

Uchaguzi wa mwaka huu sio hata wa kubishana kuhusu haki au sio wa haki ni inshu ya kunyamaza tu.. ila kama tukiongelea uhalali ni AIBU!!!

Chamsingi sio vitu vya kuongelea kwenye uzi huu.
aibu kwa wasaliti na mmekomeshwa & there's nothing you can do sio nyie tuu hata hao mabwana zenu pia
 
Humu ndani kuna watu wanafuata mkumbo hawajui haki ni nn! Mie nawaangalia tu! tupigwe kwanza sanctions halafu tutapata akili!

Mimi ndhani uchaguzi haukua wa haki hata kidogo..

lakini siamini kama international organization zinatakiwa ku-act kivyovyote kuhusu nchi yetu na sio haki yao kuingilia mambo yetu..

Kama kuna injustice yoyote imeonekana hakuna uthibitisho unaweza kupatikana kwasababu Tume ilijipanga na walijua kinachoenda kufanyika..

Hizo picha na video zinazozunguka hazitoshi kuwa ushahidi..

International communities zinaweza kuingilia kama raia wame act kupinga au kuandamana kwa ukubwa na wakapigwa na kuuliwa ila kama mambo yapo nomal hakuna kitu kitatoke hakuna hata sunction yoyote...

Upinzani warudishe majeshi nyuma wajiandae 2025 kuwe na katiba Mpya.
 
Akili kama hii siioni ikiwa imevuka miaka 25.
Na mwaka huu ni mara yangu ya 5 kupiga kura sijawahi kupigia chama kimoja mara 3.
By the way mimi sijui hata usaliti ni nn!! Napenda maendeleo ya nchi na haki..

aibu kwa wasaliti na mmekomeshwa & there's nothing you can do sio nyie tuu hata hao mabwana zenu pia
 
Sina uzalendo wa kifalafala niko kusimamia fair play! Ushindi wa mazabe na kura za maharuani si huka yangu! Kuna habari vijana wengi chini ya miaka 35 wameshindwa kupiga kura kwavile majina yao hayajaonekana pia wasimamizi wengi wa vituo vya kura wa upinzani kuenguliwa!

Mkuu mm naelewa kabisa unachomaanisha kwmb co kuwa hujapendezwa Magu kushinda ila unataka japo kuwe na upinzani bungeni lkn Geza ukweli ni kwamba upinzani wa Tz hauna maana yoyote mana wameweka mbele matumbo yao, hebu angalia mtu km zito ni mbunge wa Kigoma mjini lkn asilimia kubwa maisha yake ni Dar.

Hivyo hivyo profesa jay, Mbowe, Sugu na pia hata wengi wa wabunge wa ccm, ilikuwa kwamba ubunge ni pesa lkn co kupambania wananchi, so hiki kitu Magu amekuwa akikipinga sn hivyo basi kwa sababu hizo wananchi wameona ni bora kumpa Magu wabunge wa chama chake ili awanyooshe vzr, and trust me Geza wabunge wa ss watabadilika sn na Magu anaenda kuonesha thamani ya mwananchi na anakwenda kubadili kabisa taswira hasi kuhusu ubunge na baada ya miaka hii mitano sidhani km ubunge utakuwa ni kitu cha kukimbilia we ngj uone.
 
Akili kama hii siioni ikiwa imevuka miaka 25.
Na mwaka huu ni mara yangu ya 5 kupiga kura sijawahi kupigia chama kimoja mara 3.
By the way mimi sijui hata usaliti ni nn!! Napenda maendeleo ya nchi na haki..
muulize Robert Amsterdam akwambie usaliti ninini

ivi unaijua Belgium katika ulimwengu huu wa ubepari?

Tanzania nizaidi ya uijuavyo broh
 
Kiufupi unapokunywa hiyo dawa, control ya akili na kila kitu ndani ya mwili wako kipo chini ya hiyo dawa...Unakutana na watu wengi Sana unapokuwa unasafiri... Kuna pattern nyingi Sana unaziona zinakuijia...Utajalibu kupambana na iyo dawa mwanzo lakini utashindwa... Kiufupi nikama unakuwa umekufa na huna tena control na kitu chochote katika mwili wako. Kama unataka kujua kuwa Kuna afterlife basi tumia hiyo dawa...I was real travelling through time...You start living a new life nakupata idea mpya nyingi Sana...Inakuchukua masaa sita kuisha...Ila kuisha kabisa Inakuchukua siku nzima...Utakuwa unafanya vitu bila wewe kujua kwa hiyo Ni vyema ufungiwe chumbani bila kuwa na kitu chochote kitakacho kudhulu...
Kama utaitaji kuacha pombe... Muda huo unaokuwa kwenye trip maisha yako yote tokea umezaliwa hadi Leo hii yanakuijia alafu inakupeleka sehemu nyingine ambapo nikama unakutana na malaika... Mimi ilo ndo Jambo la ajabu lililonishangaza Sanaaaa..

Hiyo dawa inaitwaje na kama hutojali naomba muongozo wa kumpata huyo mganga tafadhari kuna mtu anatusumbua nyumbani kwa ajili ya pombe. Kesha lidhia tukipata dawa ya kumfanya aache pombe yuko tiari kwa lolote. Tafadhari mkuu
 
Back
Top Bottom