Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Wakenya huyu jamaa yupo vizuri, itapendeza akipewa yeye uraisi, wanasiasa wenu wote hawafai kabisa...

Anafanya kazi nzuri ila yeye ni mwanajeshi. Abakie huko Nairobi. Asiwe rais maana wanajeshi ni madikteta. Hatutaki dikteta kama JPM huku Kenya.
 
Hapana, ni kwa mtu yeyote anayetaka kuusafisha ubongo.
Ubongo wangu hauhitaji kusafishwa maana upo sharp sana. Labda nikizeeka ndio nitaihitaji hio dawa. Nyie wenye ubongo legevu endeleeni kuinywa.
 
NYIE MACCM MUMEIBA KURA ZA WANANCHI ILI JIWE LIENDELEE KUTEKELEZA MADUDU YAKE!! NASEMA HIVI KWA DHAMBI MLIZOFANYA KWENYE HUU UCHAGUZI, MUMELIINGIZA TAIFA KWENYE LAANA MAANA MIOYO YA WATANZANIA WENGI IMENUNG'UNIKA.
HIVYO HII MIAKA MITANO HUYU JIWE PAMOJA NA SERIKALI YAKE HAWATOFANYA LOLOTE LA MAANA ZAIDI YA KUJILIMBIKIZIA MALI NA UTAJIRI. HIVYO MIJI KAMA DAR, MWANZA TUTEGEMEE IKIPATA ATHARI ZA MOJA KWA MOJA...
HIVYO NDOTO YA KUJA KUIPIKÙ NAIROBI ITAKUWA ISHAKUFA.
WATANZANIA TUFANYE MAOMBI YA TOBA ILI MUNGU ASIRUHUSU HII ADHABU.
 
Sio ninyi bwana,ni wachina hao..nyie hamkutoa hata sh 5 ..yaani nyie ni mserereko tu kitonga..!!
Ikijaupanda wa barabara sisi hatuna mwenzetu hapa EA...hii nayo ni western bypass inajengwa pia na iko na interchange zaidi ya kumi na zingine zatakua three level interchange kama hako kaubungo kenu
tapatalk_1604211559851.jpg
tapatalk_1604211554371.jpg
tapatalk_1604211641787.jpg
tapatalk_1604211636429.jpg
tapatalk_1604211540852.jpg
tapatalk_1604211673415.jpg
tapatalk_1604211681044.jpg
tapatalk_1604211632255.jpg
 
hio seal inafanana na ya USA
Hio seal ya Kenya haifanani na ya US hata kidogo. Seal ya USA haina simba wawili ambao wameshikilia ngao na mkuki. Wewe unajua seal ya USA inavyofanana kweli? Afadhali ungesema ya UK maana UK pia wana simba kwenye seal yao.
Seal ya US ina Eagle. Eagle ni ndege mgani kwa kiswahili? Ni tai au la? Anayefahamu aniambie.

US
images.png



Seal ya Kenya na ya UK zimekaribia kufanana. Tazama hapa

UK
images (1).jpeg



Na ya Kenya ndio hii hapa
download.png


Yenu ndio hii hapa
court_of_arms_tanzania.png

Ya Uchina ndio hii hapa. Haivutii hata kidogo

images (3).jpeg


Ya Urusi ndio hii hapa. Hii ipo sawa

images (1).png
 
Ubongo wangu hauhitaji kusafishwa maana upo sharp sana. Labda nikizeeka ndio nitaihitaji hio dawa. Nyie wenye ubongo legevu endeleeni kuinywa.
kama uko (sharp sana) kwa nini usiufanye uwe (sharp sana ) + 1?
 
Ikijaupanda wa barabara sisi hatuna mwenzetu hapa EA...hii nayo ni western bypass inajengwa pia na iko na interchange zaidi ya kumi na zingine zatakua three level interchange kama hako kaubungo kenuView attachment 1616953View attachment 1616954View attachment 1616956View attachment 1616957View attachment 1616959View attachment 1616960View attachment 1616961View attachment 1616962
Tanzania wanainterchange moja pekee halafu wanataka kubishana na Kenya wabwege sana
 
NYIE MACCM MUMEIBA KURA ZA WANANCHI ILI JIWE LIENDELEE KUTEKELEZA MADUDU YAKE!! NASEMA HIVI KWA DHAMBI MLIZOFANYA KWENYE HUU UCHAGUZI, MUMELIINGIZA TAIFA KWENYE LAANA MAANA MIOYO YA WATANZANIA WENGI IMENUNG'UNIKA.
HIVYO HII MIAKA MITANO HUYU JIWE PAMOJA NA SERIKALI YAKE HAWATOFANYA LOLOTE LA MAANA ZAIDI YA KUJILIMBIKIZIA MALI NA UTAJIRI. HIVYO MIJI KAMA DAR, MWANZA TUTEGEMEE IKIPATA ATHARI ZA MOJA KWA MOJA...
HIVYO NDOTO YA KUJA KUIPIKÙ NAIROBI ITAKUWA ISHAKUFA.
WATANZANIA TUFANYE MAOMBI YA TOBA ILI MUNGU ASIRUHUSU HII ADHABU.
Rudi ukajifunze vyema juu ya duwa la kuku....
 
Back
Top Bottom