"Commuter rail( itabeba)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tusubiri kwanza ikishabeba ndio urudi tuzungumze, kwa sasa hivi Tanzania Commuter rail + BRT zinabeba watu wengi mara 3 zaidi ya wanaobebwa na Commuter train yenu.
Kuhusu Maji, Dar es salaam 99% ya Population yake inapata maji safi na Salama. Kwa nchi nzima: 74% ya rural na 88% ya urban Population inapata maji safi na salama. Hivi ndio vitu tunataka kusikia, sio GDP isiokuwa na usaidizi kwa wananchi
Sent from my TECNO-L8 using
JamiiForums mobile app