TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
Tafuta ingine Ongezea 😂😂😂Tuanze hapa. Kenya motoView attachment 1613674
Tafuta ingine Ongezea 😂😂😂Tuanze hapa. Kenya motoView attachment 1613674
Lakini kusema kweli njaa inasumbua sana wakenya.Shida ya wabongo ni wanafikiri Tanzania pekee ndio Iko na maendelo watashutuka sana 😂😂😂😂
Who to trust,mnaliwa mchana kweupe kila mradi lazima kipigwe cha juu miradi mingine hewa kbs mingine inaishia njiani,mnaweza kuona tunapiga kelele ila tunawaamsha,Wasiwasi wangu mkubwa beyond reasonable doubt uchumi wa Kenya ni wa kwenye makaratasi ila si kwa ground,mnawekewa figure nzuri wananchi ili mchekelee ila njo kwenye uhalisia sasa majority wamechoka kama nini maskini.Amka sasa kutoka kwenye ndoto, piga darubini Africa kote, nchi kadhaa zina amka na ziko na mikakati kabambe za kimaendeleo sio Tz pekee. Kenya too has developmental plans from county level to National, sasa kwa akili yako when will Tz catch up? When?., tukiweka facts humu mnaanza kulia lia na kukimbilia Turkana ama Kibera(old photos😂😂😂😂😂) kwasababu hampendi kuona Kenya iko juu yenu licha ya mapungufu tulio nayo! kubali your level, stick to your lane and grow steadily bila kufikiria Kenya.
Floods ilifumania Dar nyamaza tu kaka😂😂😂 80% of the city ni low life mbona? Not sections, imetapakaa kote kote!!!!!Hii co Kibera usijifanye chizi [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1613656
Google Kenyans students studying under trees they are in plenty wekelea hapa 😂😂😂😂Vipi kuhusu hii!?
View attachment 1613677
Nairobi pekee ipo na Slums/poverty inayozidi Africa nzimaHeshima muhimu Sana Nairobi pekee ina GDP inayotoshana na GDP ya Tanzania
Shida Iko Wapi hapoShida ni pale mnapotegemea Chakula cha msaada toka kwa wachina, wazungu na waarabu.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hii imekaaje. Unaweza kutupatia jibu!?Floods ilifumania Dar nyamaza tu kaka😂😂😂 80% of the city ni low life mbona? Not sections, imetapakaa kote kote!!!!!
View attachment 1613670
View attachment 1613671
View attachment 1613672
View attachment 1613673
View attachment 1613675
View attachment 1613676
This is the normal lifestyle or standards ya life ya 90% of Dar city dwellers! The reason world bank confirmed this by publishing their findings of your huge extreme poverty numbers in EAC na SADC!., The best 007 nani aliwaroga kwa ukweli????
The entire Africa knows where beggars are manufactured from 😂😂😂 (Bongolala land)Nani alikUambia Kenya tuko na beggars
Beggars wote Kenya ni watanzania
Unatia huruma aiseee [emoji3][emoji3][emoji3]Beggar Wapi amebeg Tanzania nn
Nchi iliyo jaa na watu wafukara wakutupwa hapa Africa mashariki ni Tanzania so beggars are inevitable
Hio ndio class yao hujui Turkana na Kibera ndio inawasuitAmka sasa kutoka kwenye ndoto, piga darubini Africa kote, nchi kadhaa zina amka na ziko na mikakati kabambe za kimaendeleo sio Tz pekee. Kenya too has developmental plans from county level to National, sasa kwa akili yako when will Tz catch up? When?., tukiweka facts humu mnaanza kulia lia na kukimbilia Turkana ama Kibera(old photos😂😂😂😂😂) kwasababu hampendi kuona Kenya iko juu yenu licha ya mapungufu tulio nayo! kubali your level, stick to your lane and grow steadily bila kufikiria Kenya.
Hzo c factsNairobi pekee ipo na Slums/poverty inayozidi Africa nzima
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Tuko 2020 kijanaUnatia huruma aiseee [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1613681
Oh!!! Samahani hapa ni kenya au siyo kenyaGoogle Kenyans students studying under trees they are in plenty wekelea hapa 😂😂😂😂
Meanwhile somewhere in Tandale 😂😂Hii imekaaje. Unaweza kutupatia jibu!?
View attachment 1613680
Sahau kuhusu LAPSSET, Ethiopia is out, South Sudan is not capable with any thing apart from civil war for now. You are remaining with Lamu port which is almost white big elephant like Your SGR from Nairobi to NaivashaLapsset na Kisumu port zipo. Pengine hizo za kwanza mbili ndio zina tashwishi
Wacha ajibambe na floods na slums nyani haoni kundule 😂😂😂Floods ilifumania Dar nyamaza tu kaka😂😂😂 80% of the city ni low life mbona? Not sections, imetapakaa kote kote!!!!!
View attachment 1613670
View attachment 1613671
View attachment 1613672
View attachment 1613673
View attachment 1613675
View attachment 1613676
This is the normal lifestyle or standards ya life ya 90% of Dar city dwellers! The reason world bank confirmed this by publishing their findings of your huge extreme poverty numbers in EAC na SADC!., The best 007 nani aliwaroga kwa ukweli????
Weka hyo ya 2020[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tuko 2020 kijana