Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana na mambo za ikikamilika kwani hujui kama brt phas 2 iko under constrcn na phase3 tender ishatangazwa na mbagala kuna popln kubwa sana pamoja na gongolamboto so kama zikikamilika tunaweza kupata mpka 1m per day but kumbuka pia tuna commuter rail ambayo inaproject kutransport 700k per day baada ya kukamilika izo route watazoongeza. Na unajua dar inakadiriwa kuwa na population ya 10m by 2030 so kwa populatn iyo kuwa na watu 3m-4m per day barabarani sio ajabu sasa nyie mna 5m na 2030 mtakua 7m hao watu 1.5m kweny train kilasiku watatoka wapi?
Nani ana 5 mln inhabitants? Nairobi haijafika 5 mln inhabitants!
 
Ila nawe joto ya joto la jiwe unapotosha project huwa na phases na usually construction inaanza baada ya tender issuance to a constructor ambayo ina-include 6 months of mobilization! Bado contractor wa pipeline hajatangazwa! na hawezi kutangazwa kabla ya FID! Ninaamini some Chinese company will build the pipeline!
Hivi Magufuli anapiwapigia kelele TPDC anaposema ujenzi wa kiwanda cha LNG umechelewa sana kuanza kwasababu feasibility study ineshafanyika, ana maana gani wakati hata tender haijatangazwa?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hivi Magufuli anapiwapigia kelele TPDC anaposema ujenzi wa kiwanda cha LNG umechelewa sana kuanza kwasababu feasibility study ineshafanyika, ana maana gani wakati hata tender haijatangazwa?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
mzee unataka nikupe lecture ya project management tena? Make use of internet kuona several stages kabla ya kutangaza mkandarasi na huwezi kutangaza mkandarasi kabla ya kufanya FID! Kuna several preliminary stages, lugha ya kisiasa isikuchanganye! BTW feasibility study ni early stages za any Project!
 
Ila mwaswast ama kwa hakika tumekunyoosha kama rula, hivi ni wewe yule ama ninaota?

Watanzania tuna kila sababu ya kutembea kifua mbele sababu harakati zetu za kuwafungua macho wakenya zimeanza kuzaa matunda, mwaswast ni mmoja tu aliekiri wazi, wapo wengine wanagugumia rohoni na wengine wamehama kabisa jukwaa

Ama kwa hakika wakenya mambo bado, yajayo yanafurahisha zaidi

Mwaswast ni wewe uliekua ukihitaji kilometres 1 tu ya SGR? Dunia inaenda kasi sana
Mm mwenyewe ananishangaza sn cku hz, na ndiyo maana ameamua kutumia avatar ya Magu cz anamkubali sn Magu, af mwaswast huwa anakubali japo kishingo upande
 
Muendele kuplan wakati brt phase 2 imewashinda
Ww acha kuongea km unatoka chooni , kama hujui kitu uliza usijifanye mjuaji ..nenda kacheze uko ushago kwenu
Screenshot_20200930-190457.jpg
Screenshot_20200728-115516.jpg
 
Mimi nilichosema any project ina stages na mara nyingi preliminary have to cleared before the next na nikasema contractor wa EACOP bado hajapatikana na atapatikana baada ya FID!
Kama unazungumzi ujenzi kama "construction" kama sehemu ya project nzima, hapo ni sahihi kuanzia contractor anapopatikana, lakini tukizungumzia neno " Mradi wa ujenzi wa Bomba la mafuta", basi lazima unaanzia mwanzo ikiwemo feasibility study.


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom