Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Nani ana 5 mln inhabitants? Nairobi haijafika 5 mln inhabitants!Achana na mambo za ikikamilika kwani hujui kama brt phas 2 iko under constrcn na phase3 tender ishatangazwa na mbagala kuna popln kubwa sana pamoja na gongolamboto so kama zikikamilika tunaweza kupata mpka 1m per day but kumbuka pia tuna commuter rail ambayo inaproject kutransport 700k per day baada ya kukamilika izo route watazoongeza. Na unajua dar inakadiriwa kuwa na population ya 10m by 2030 so kwa populatn iyo kuwa na watu 3m-4m per day barabarani sio ajabu sasa nyie mna 5m na 2030 mtakua 7m hao watu 1.5m kweny train kilasiku watatoka wapi?



