TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
3 years ago haujui Kusoma ama ww ni mjinga2020 raping goats
View attachment 1613686
3 years ago haujui Kusoma ama ww ni mjinga2020 raping goats
View attachment 1613686
GDP ni economic output ya nchi sivyo? Nataka uniwekee hapa list ya top 20 businesses na institution za Tz with their annual revenue/profits as a contribution to your GDP ya mawe kisha mimi niweke 20 za Kenya n their income generation and contribution to the GDP ya makaratasi😂😂😂 tuone., angalia miji yetu 15 bora drone view in comparison na za kwenu haswa kimaendeleo na makao ya raiya., weka facts., ukitaka!., nyie ni domo domo na propaganda ndio mnajua tu😉😂😂 😂😂Who to trust,mnaliwa mchana kweupe kila mradi lazima kipigwe cha juu miradi mingine hewa kbs mingine inaishia njiani,mnaweza kuona tunapiga kelele ila tunawaamsha,Wasiwasi wangu mkubwa beyond reasonable doubt uchumi wa Kenya ni wa kwenye makaratasi ila si kwa ground,mnawekewa figure nzuri wananchi ili mchekelee ila njo kwenye uhalisia sasa majority wamechoka kama nini maskini
Ww wekelea ww ndio umeleta hyo topicWeka hyo ya 2020![]()
Ni Sawa google Kenyans starving weka hapaLakini kusema kweli njaa inasumbua sana wakenya.
Tunataka People centered Development, onyesha maendeleo yaliyofanyika Nairobi vs Dar es salam. Haya maneno ya GDP wakati hata maji ya kutosha ni shida, uchafu umetapakaa mjini, Public transport system ni hovyo, ni chizi pekee ndiye atafurahia GDP ya kwenye makaratasi wakati on ground hali ni tofautiHzo c facts
Mm nko facts ama unataka evidence niweke GDP ya Nairobi hapa na ya Tanzania hapa![]()
We huwa unanichekesha sn hiyo battle ya miji ilishawekwa humu ikaonekana kenya nzima miji ambayo kdg afadhali ni nairobi na kwa mbaali mombasa, ss utashindana vp na TzGDP ni economic output ya nchi sivyo? Nataka uniwekee hapa list ya top 20 businesses na institution za Tz with their annual revenue/profits as a contribution to your GDP ya mawe kisha mimi niweke 20 za Kenya n their income generation and contribution to the GDP ya makaratasituone., angalia miji yetu 15 bora drone view in comparison na za kwenu haswa kimaendeleo na makao ya raiya., weka facts., ukitaka!., nyie ni domo domo na propaganda ndio mnajua tu
![]()
I dare you weka niweke! Sitaki kiswahili mingi mimi, ina uzembe flani.,



Tafuta zingine uongoze 😂😂😂Oh!!! Samahani hapa ni kenya au siyo kenyaView attachment 1613684
Asante kwa jibu mujarabu kbs Festo njo ule ya uso huku na GDP yako ya makaratasi.😂Tunataka People centered Development, onyesha maendeleo yaliyofanyika Nairobi vs Dar es salam. Haya maneno ya GDP wakati hata maji ya kutosha ni shida, uchafu umetapakaa mjini, Public transport system ni hovyo, ni chizi pekee ndiye atafurahia GDP ya kwenye makaratasi wakati on ground hali ni tofauti
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Sio kwamba ni mashariki ya Kongo na sio Kongo yoteOver 55% of cargo to DRC inapitia Dar port!
Tuanze na public transportTunataka People centered Development, onyesha maendeleo yaliyofanyika Nairobi vs Dar es salam. Haya maneno ya GDP wakati hata maji ya kutosha ni shida, uchafu umetapakaa mjini, Public transport system ni hovyo, ni chizi pekee ndiye atafurahia GDP ya kwenye makaratasi wakati on ground hali ni tofauti
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile ap
Parklands Nairobi
View attachment 1613602

Jana wakati anatoa hotuba yake huko Bomas of Kenya, Rutto alisema 40% ya wakenya wanaishi below poverty line, na 16M ya wakenya ni jobless, tunataka tushughulike na hao.GDP ni economic output ya nchi sivyo? Nataka uniwekee hapa list ya top 20 businesses na institution za Tz with their annual revenue/profits as a contribution to your GDP ya mawe kisha mimi niweke 20 za Kenya n their income generation and contribution to the GDP ya makaratasituone., angalia miji yetu 15 bora drone view in comparison na za kwenu haswa kimaendeleo na makao ya raiya., weka facts., ukitaka!., nyie ni domo domo na propaganda ndio mnajua tu
![]()
I dare you weka niweke! Sitaki kiswahili mingi mimi, ina uzembe flani.,
World bank walisema hivyo😂😂😂😂., facts dunia yote inajua Tz ndio masikini wa kutupwa EAC., top 5 Africa😂😂😂😂 maoni yako haotobadilisha ukweli kamwe ng'o!😂😂😂Nairobi pekee ipo na Slums/poverty inayozidi Africa nzima
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Sisi tulikuwa na jengo la glass na steel mbele yenu. Inaitwa I&M bank tower. Ina kimo cha mita 99 na ilikamilika mwaka wa 2001.This building is beautiful aesthetically naona mnaanza kutuiga sasa na design za glass and steel! big up!
Hapo wanateta kwa kingereza,nyuma yao ni kibanda umiza cha tope
Kenya ni nchi ya kibepari, jitume uwe nafuu zembea ufe masikini., alafu despite that nyie ni worse than us mbona kaka?😂😂😂 shighulikia hali yako binafsi wacha blah blah blah!., 2020 inaisha bado Kenya iko jui yenu., mliimba eti by 2020 mnamaliza mchezo😂😂 mlifikiri ni kalonglongo ya watoto😂😂😂 Tanzanians will remain poor for long kwa ajili mfumo wa uchumi mlio chukua haiwezi kusaidia uzembe wa raiya wenu walio wengi ulio ingizwa akilini na ujamaa philosophy, na kwa hivyo wajanja watafaulu maradufu mafala na ndwazi kama wewe mtabaki hapa jf mkituwekea vipicha vya Dar tu miaka nenda miaka rudi😂😂😂😂😂Jana wakati anatoa hotuba yake huko Bomas of Kenya, Rutto alisema 40% ya wakenya wanaishi below poverty line, na 16M ya wakenya ni jobless, tunataka tushughulike na hao.
Wewe hizo Benk na makampuni ya watu binafsi kutengeneza faida kubwa, inapunguzaje na kusaidiaje hao wananchi 40% wanaoishi ktk umasikini?. Kwanini bado wakenya hamshituki mnaendelea kushabikia watu wachache wanaendelea kuishi maisha ya kifahari wakati wakenya wengi wanaishi kama wanyama?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
But poor finishing as usual!Sisi tulikuwa na jengo la glass na steel mbele yenu. Inaitwa I&M bank tower. Ina kimo cha mita 99 na ilikamilika mwaka wa 2001.
![]()
I&M Bank Tower - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
View attachment 1613694