Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila mwaswast ama kwa hakika tumekunyoosha kama rula, hivi ni wewe yule ama ninaota?

Watanzania tuna kila sababu ya kutembea kifua mbele sababu harakati zetu za kuwafungua macho wakenya zimeanza kuzaa matunda, mwaswast ni mmoja tu aliekiri wazi, wapo wengine wanagugumia rohoni na wengine wamehama kabisa jukwaa

Ama kwa hakika wakenya mambo bado, yajayo yanafurahisha zaidi 😅😅😅

Mwaswast ni wewe uliekua ukihitaji kilometres 1 tu ya SGR? Dunia inaenda kasi sana 😅😅😅
Sasaivi naona komora096 na TYWIN LANNISTER na Yosef Festo ndo bado hawajajua ukweli they still sturbon against truth but i believe truth always prevail its matter of time.
 
We kuwa serious iyo nairobi rail ina capacity iyo ila sio inabeba watu 1.5 per single day unanambia populatn ya nairobi 4.5m kati yao 1.5m always wanapanda izo tren so private cars na matatu zinabeba nn?? Afu izo bado ni projection DSM commuter rail inabeba 15k to 20k per single day na project ni kujenda 6more route saivi ziko route 2 za uhakika.TRC eyes six commuter railway networks in Dar
Kwani huwajui hao wazee wa kujisifu?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
We kuwa serious iyo nairobi rail ina capacity iyo ila sio inabeba watu 1.5 per single day unanambia populatn ya nairobi 4.5m kati yao 1.5m always wanapanda izo tren so private cars na matatu zinabeba nn?? Afu izo bado ni projection DSM commuter rail inabeba 15k to 20k per single day na project ni kujenda 6more route saivi ziko route 2 za uhakika.TRC eyes six commuter railway networks in Dar
Ina capacity 250k per day brt yenu Iko na capacity gani 😂😂😂
 
Ila mwaswast ama kwa hakika tumekunyoosha kama rula, hivi ni wewe yule ama ninaota?

Watanzania tuna kila sababu ya kutembea kifua mbele sababu harakati zetu za kuwafungua macho wakenya zimeanza kuzaa matunda, mwaswast ni mmoja tu aliekiri wazi, wapo wengine wanagugumia rohoni na wengine wamehama kabisa jukwaa

Ama kwa hakika wakenya mambo bado, yajayo yanafurahisha zaidi 😅😅😅

Mwaswast ni wewe uliekua ukihitaji kilometres 1 tu ya SGR? Dunia inaenda kasi sana 😅😅😅
Mkuu safari yangu ya kubadili msimamo wangu haijaanza humu JF, ila kwa katika hili jukwaa niweweza kusoma mambo kadha wa kadha kuhusu Binadamu in General. Utakubaliana nami Nchi za Afrika zinaliwa na wazungu na viongozi wetu ambao ni vibaraka wao.
 
Kwa hivyo ujenzi wa pipeline yenu ilianza zamani? Wewe unadefine ujenzi in very broad terms. Lakini kwa lugha ya yahe wa kawaida ukisema ujenzi umeanza siku fulani, yeye anaelewa kuwa hio ndio siku bulldozer zilianza kupiga kazi. Hio ndio siku earthmover ilianza kuparamia ardhi. Sasa upo sahihi lakini hio definition yako ni general sana. Sasa construction ya pipeline yenu ilianza miaka mitatu iliopita kulingana na definition yako. Construction kwa kawaida tunamaanisha ujenzi wenyewe lakini ninakuelewa unachomaanisha.
Wewe ukichukulia siku buldozer lipo site utapata taabu sana, kumbuka kwamba huu ujenzi unafanywa na "third party", sasa kama contractor amefanikiwa kupewa tender ya ujenzi kwa miaka 3 tangu siku ameshinda, na mitambo yake yote ipo China, utaanza kuhesabu hiyo miaka 3 baada ya mitambo yote kufika site, au kuanzia siku aliyoshinda tender?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ukichukulia siku buldozer lipo site utapata taabu sana, kumbuka kwamba huu ujenzi unafanywa na "third party", sasa kama contractor amefanikiwa kupewa tender ya ujenzi kwa miaka 3 tangu siku ameshinda, na mitambo yake yote ipo China, utaanza kuhesabu hiyo miaka 3 baada ya mitambo yote kufika site, au kuanzia siku aliyoshinda tender?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Siku aliyoshinda tender iko reasonable. Lakini kuanza kuhesabu tangu kukamilika kwa feasibility study is very general. Miradi nyingi sana huwa inafanywa feasibility study kisha hio feasibility study inatupwa kwenye kabati hadi ile siku pesa itakapopatikana. Sasa ikichukua miaka kumi kupata pesa, utasema ujenzi ulianza miaka kumi zilizopita? Sikatai kuwa feasibility study ni part of construction lakini kwa kawaida hio huwa haihesabiki. Na ikihesabika basi miradi nyingi itakuwa na timeline ndefu zaidi. Kwa kawaida miradi huwa inahesabika kuanzia tender kutangazwa
 
Sisi hatuna haja na South Sudan. Hata ninyi mkiitaka mnaweza kuichukua hio market. Lakini Uganda hatuiwachi hivi hivi tu. Lazima tutapambana ili tujue nani ndio ndume kati ya Kenya na Tanzania.
Uganda hii hii iliyowanyima pipeline na imekataa kujenga SGR kwenda Malaba?
 
When did Ethiopia say that they are out? Weka evidence. Hapa JF tunadeal na evidence sio story za vijiweni
Hata Rwanda haijawahi kusema kwamba haitojenga tena reli ya SGR kuunganisha na Kenya, hivi kwa akili yake Rwanda inauwezo wa kujenga SGR mbili, kuunganisha na Tanzania na kuunganisha na Uganda?. Sasa kwasababu Rwanda haijasema kwamba imejitoa kutoka Northen Corridor, bado unahesabu Rwanda katika Northen corridor?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu safari yangu ya kubadili msimamo wangu haijaanza humu JF, ila kwa katika hili jukwaa niweweza kusoma mambo kadha wa kadha kuhusu Binadamu in General. Utakubaliana nami Nchi za Afrika zinaliwa na wazungu na viongozi wetu ambao ni vibaraka wao.
Aliekuibia password nitamreport police cyber crime department 😅😅😅
 
Wewe ukichukulia siku buldozer lipo site utapata taabu sana, kumbuka kwamba huu ujenzi unafanywa na "third party", sasa kama contractor amefanikiwa kupewa tender ya ujenzi kwa miaka 3 tangu siku ameshinda, na mitambo yake yote ipo China, utaanza kuhesabu hiyo miaka 3 baada ya mitambo yote kufika site, au kuanzia siku aliyoshinda tender?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ila nawe joto ya joto la jiwe unapotosha project huwa na phases na usually construction inaanza baada ya tender issuance to a constructor ambayo ina-include 6 months of mobilization! Bado contractor wa pipeline hajatangazwa na hawezi kutangazwa kabla ya FID though major Banks Standard Chartered na Sumitomo (if not wrong) wame-commit financing part! Ninaamini some Chinese company will build the pipeline though sijui kampuni ipi!
 
Siku aliyoshinda tender iko reasonable. Lakini kuanza kuhesabu tangu kukamilika kwa feasibility study is very general. Miradi nyingi sana huwa inafanywa feasibility study kisha hio feasibility study inatupwa kwenye kabati hadi ile siku pesa itakapopatikana. Sasa ikichukua miaka kumi kupata pesa, utasema ujenzi ulianza miaka kumi zilizopita? Sikatai kuwa feasibility study ni part of construction lakini kwa kawaida hio huwa haihesabiki. Na ikihesabika basi miradi nyingi itakuwa na timeline ndefu zaidi. Kwa kawaida miradi huwa inahesabika kuanzia tender kutangazwa
Kabla ya tender kutolewa huko nyuma muhusika ni "owner ndio sababu hutaki kuhesabu sio.

Sasa chukulia mfano huu: Kenya imegundua mafuta yake hapo Turkan na kufanya yenyewe feasibility study ya kuyachimba na kuyasafirisha, baada ya hapo ikaingia PPP na Total ili ichimbe na kuyasafirisha. Hivi serikali ya Kenya itakubali Total kukaa zaidi ya miaka 10 bila kuanza shughuli yoyote kwa kisingizio cha kukusanya PESA?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Ni sawa na BRT pia maana kwa phase one

Hii yetu baada ya phase 3 itakuwa inasafirisha 1M per day. Ngoja utaona.
Achana na mambo za ikikamilika kwani hujui kama brt phas 2 iko under constrcn na phase3 tender ishatangazwa na mbagala kuna popln kubwa sana pamoja na gongolamboto so kama zikikamilika tunaweza kupata mpka 1m per day but kumbuka pia tuna commuter rail ambayo inaproject kutransport 700k per day baada ya kukamilika izo route watazoongeza. Na unajua dar inakadiriwa kuwa na population ya 10m by 2030 so kwa populatn iyo kuwa na watu 3m-4m per day barabarani sio ajabu sasa nyie mna 5m na 2030 mtakua 7m hao watu 1.5m kweny train kilasiku watatoka wapi?
 
Back
Top Bottom