na ndio msubiri kuhubiri GDP isioweza hata kununua chakula cha mkenya maskini😂😂😂Kwani leo ndio umejua kuwa Kenya 75% ni kame?
Inshallah.Hii lazima nije kupanda
.. nilienda tu kushuhudia.. wiki narud DarNi hatari lakini naona bado haijaanza kufanya kazi. Hakuna abiria.
ishaanza kazi tayar na ishafunguliwa rasmiNi hatari lakini naona bado haijaanza kufanya kazi. Hakuna abiria.
Sawa. Angalau wazungu wataacha kunya nje ya airport kwa sababu ya ukosefu wa choo ndani ya airport yenu. Yaani mzungu anasema wazi kuwa alikuwa amekabwa na choo na kwamba airport yenu haikuwa na choo ndani na ilibidi aende kutafuta choo nje ya airport? Mnaaibisha Afrika jameni. Angalau mmejenga bonge la airportishaanza kazi tayar na ishafunguliwa rasmi
Kwanini mnakarabati bandari ya Kisumu?Mkuu mbona tutumie meli wakati tuna barabara fupi inayounganisha Kenya na Uganda? Heri hata ungesema tukarabati reli yetu ya MGR inayofika Kampala hlafu Uganda nao wakarabati upande wao.
Ndo utajua ss kwmb mlikuwa hamuijui vzr Tz ila now you knowSawa. Angalau wazungu wataacha kunya nje ya airport kwa sababu ya ukosefu wa choo ndani ya airport yenu. Yaani mzungu anasema wazi kuwa alikuwa amekabwa na choo na kwamba airport yenu haikuwa na choo ndani na ilibidi aende kutafuta choo nje ya airport? Mnaaibisha Afrika jameni. Angalau mmejenga bonge la airport



Hii ni kali kusema ukweli. Hii meli ni gamechanger katika EAC trade. Hapa nawapa kongole
so kila wanachosema wazungu ww unakiamini hata kama anachuki zake binafsi???Sawa. Angalau wazungu wataacha kunya nje ya airport kwa sababu ya ukosefu wa choo ndani ya airport yenu. Yaani mzungu anasema wazi kuwa alikuwa amekabwa na choo na kwamba airport yenu haikuwa na choo ndani na ilibidi aende kutafuta choo nje ya airport? Mnaaibisha Afrika jameni. Angalau mmejenga bonge la airport
Yani mambo mengine yanashangaza sn kwa kweli, eti jamaa anaamini kabisa airport ya Zanzibar ilikuwa mbovu, tng lini tourists destination km zenji iwe na airport mbovu??so kila wanachosema wazungu ww unakiamini hata kama anachuki zake binafsi???
Aliye lala usimwamshe akiamka ni hatareUsafiri wa maji ni sawa na usafiri wa Angani, japo Qatar inamilikia eneo dogo sana la angani, lakini wanazo ndege nyingi kuliko nchi zote za EA ukijumlisha kwa pamoja
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
naona dada kasema class ya kawaida itakuwa 44$, sio expensive au ni sawa watu wa kawaida wataweza kuiafford kweli?mizigo ya DRC, na baadhi ya burundi na rwanda/zambia tunauhakika itaitumia hio meli kutokea Dar port to Kigoma port then to their destinations
Hahahaha umejicamouflage tu hapo 😀😀hapana.. huyo ni mkazi.. mim mmoja wa watu wa meli.. nilienda tu kushuhudia.. wiki narud Dar
naona dada kasema class ya kawaida itakuwa 44$, sio expensive au ni sawa watu wa kawaida wataweza kuiafford kweli?
Wakenya mbona mnatuteta bila kibali? 😀😀😀
Wakenya mbona mnatuteta bila kibali?