Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unataka tuanze battle ya choo? Ona huyu wazimu? Kwani asubuhi ulikula staftahi ya mkojo kwa mavi? Battle ya choo sio nzuri mzee.
Ninauliza tu. Aulizaye hujibiwa. Je, bado mnasaidiwa na UNICEF kuchimba vyoo vya shimo!?
Screenshot_20201026-125728.png
 
Mtabaki nyie tu na mitumbwi yenyu! Sie tayari tunajenga mbili Lake Victoria na mbili Lake Tanganyika!
Sisi hatuna maziwa makubwa kama nyie. In fact sisi tunamiliki 6% ya L. victoria. Kwa hivyo hongereni. Sisi hatuna maziwa kwa hivyo hatuna haja ya kujenga meli nyingi.
 
Sitaki battle ya choo. Hio nenda katafute mtu mwingine. Itakuwa ulikula staftahi ya mkojo kwa mavi ndio maana unataka tuzungumzie maswala ya choo? Badilika mzee
Mimi wala sijataka bado Bali nauliza tu kujua. Hivi flying toilet mmeshaacha na mmeamua kujengewa na UNICEF!?
 
Sisi hatuna maziwa makubwa kama nyie. In fact sisi tunamiliki 6% ya L. victoria. Kwa hivyo hongereni. Sisi hatuna maziwa kwa hivyo hatuna haja ya kujenga meli nyingi.
Kwani hapo Victoria si muonyeshe mfano basi! baharini je? maana sisi hata baharini tender ya meli ishatangazwa!
 
Sisi hatuna maziwa makubwa kama nyie. In fact sisi tunamiliki 6% ya L. victoria. Kwa hivyo hongereni. Sisi hatuna maziwa kwa hivyo hatuna haja ya kujenga meli nyingi.
Sio kweli, hakuna tofauti kwa anayemiliki 90% na aneyemiliki 10% ya water body katika vyombo vya usafiri kwasababu nafasi ya kufanya biashara ya usafirishaji katika ziwa Victoria ni sawa kati ya nchi zote 3 bila kujali ukubwa wa eneo nchi inayomiliki

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli, hakuna tofauti kwa anayemiliki 90% na aneyemiliki 10% ya water body katika vyombo vya usafiri kwasababu nafasi ya kufanya biashara ya usafirishaji katika ziwa Victoria ni sawa kati ya nchi zote 3 bila kujali ukubwa wa eneo nchi inayomiliki

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwamba wangeliweza kutengeneza meli na kufanya biashara na wakapata mpunga mrefu pale lake Victoria but uwezo huo wa kiakili hawana.
 
Kwamba wangeliweza kutengeneza meli na kufanya biashara na wakapata mpunga mrefu pale lake Victoria but uwezo huo wa kiakili hawana.
Usafiri wa maji ni sawa na usafiri wa Angani, japo Qatar inamilikia eneo dogo sana la angani, lakini wanazo ndege nyingi kuliko nchi zote za EA ukijumlisha kwa pamoja

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kuweka Mwanza na hako kauchafu kenu, ninyi level yenu Tanga, Zanzibar imeshawapiga bao siku nyingi.
Mwanza kimkoa haiwezi mombasa na pia vile vile ki urban area haiwezi..
Kalinganishaneni na vile vimiji vya uganda
 
Back
Top Bottom